cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,291
Totolito




Chuchu konzi, au SAA 6, hahahah
Totolito




Ukichunguza vizuri hao senene unaosema wanatoka Sudan utakuta mahali kuna vimaandishi vile vidogoooo "dried and lightly spiced in France...with halal spices from Israel"
Safi sana shem...





umeua bendi kaahhSanaaaaah wee ni nomaaaah




Asante sana shem...


Umetokelezea sana shem akee!!!✌️✌️Oooh happy dayView attachment 2164457
Totolito
Chuchu konzi, au SAA 6, hahahah



hapo nimefata wangoni nimeanza kuvaa blazia after mtoto wa pili !!!I miss youNinong'oneze, ulitaka kusema nini?😀😀
Asante sana shem...
Rangi ya mtume...
Kamwili kazuri...
Elegant and classic....
Kwa Kisukuma ungeitwa ngole. Waulize mashangazi wa akina Minza watakueleza ngole ni nani![]()






ahsante sana!!!ntauliza aseehh!!!Shemeji amesema na mjadala umekuwa sealedUmetokelezea sana shem akee!!!![]()
hapo nimefata wangoni nimeanza kuvaa blazia after mtoto wa pili !!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app





wee khaaahUmetisha sana mate.Oooh happy dayView attachment 2164457
Dogo unasemaje?Haiwezekani huu uzi tunaona picha za watu za kawaida kawaida tu na wakati boss ledi wa kutupia picha kali upo
Aah ni mateUmetisha sana mate.
Kwanza ile good night wish sijaiona
Nawaka huku siwapatiDagaa hao jamani😍😋😋😋
Hao ukinipa wenyewe tu bila ugali nakula na kutosheka kabisa.
Aah ni mate
Nikajua utaanza zile zako mwembamba mrefu mweusi![]()




nimeanza kukua sasa, ko kuna mambo naachana nayo. UwiiiiihKwanza ile good night wish sijaiona
Afu useme unacheka nini![]()






!!!ulivojibu tuu