reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,306
Marhaaaba mmeona shoo kabla sijakomenti limefutwwaBina shkamoo
Umeona lile shepu???
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Marhaaaba mmeona shoo kabla sijakomenti limefutwwaBina shkamoo
Umeona lile shepu???
Sjawahi na mlenda nilikulaga usukumani tu since hapo sijalaUmewahi kujaribu?
Uzuri wako boss ledi unawekaga picha zinazotikisa Selfika.Selfika ni ya wote....nanyie muweke sasa!! Nawasubiri hapa🙇🙇
ni
Wengine tusitumeHuo ndo ukweli. Anayebisha ana chuki binafsi na anapaswa kufungiwa jiwe la kusagia na kutoswa baharini tu kwa sababu hakuna namna!




wwnye shepu kama bapaHuyu dada sijui Mungu alimfinyanga Kwa udongo wa wapi..Marhaaaba mmeona shoo kabla sijakomenti limefutwwa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Unasema?!!Haiwezekani huu uzi tunaona picha za watu za kawaida kawaida tu na wakati boss ledi wa kutupia picha kali upo





Aiseee..Sjawahi na mlenda nilikulaga usukumani tu since hapo sijala
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Sisi tupo na boss ledi wetu
Mnyakyusa una mdomo weweeeHalafu unashangaa eti kuna mtu siyo mfuasi wa boss ledi!
Sasa usipokuwa mfuasi wa boss ledi utakuwa mfuasi wa nani Tena???
Sisi tunasimama na boss ledii..
Hatutaki kuwa wafuasi wa watu wengine waswahili Swahili...boss ledi ni pisi kali.




Hata wewe napishanaga na selfie zako siku hizi sijui kwa nini. Wasukuma wangu wanaendeleaje huko lakini? Senene wanakula?






Selfika ni ya wote !Sisi tupo na boss ledi wetu
Hahahaaah!weweee bwana kama mzaramoooHuyu dada sijui Mungu alimfinyanga Kwa udongo wa wapi..
Ni hatari na nusu bina
Mpaka utimilifu wa dahari yaani!Sisi tupo na boss ledi wetu
Akiweka tu picha simu huku inavibrate bila Alarm..
Hail to the queen mahondawSisi tupo na boss ledi wetu