cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296




wapi hapo?



wapi hapo?Ngoma zipi?ndio Pond sio wa mchezo mchezo eti!Ngoma zako sio za kitoto
![]()

Mbona Sina hasira mmKama nakuonaaaavenye unaua mtu na hasira zako
![]()

Naam mkuu Job kule ila familia Dar



Ngoma zipi?
Sina lolote, hao Ni wadada tulikutana apo cafe na kushare iyo meza moja.
Nmemaliza kula nmeondoka zangu nmewaacha apo, ata hatujuani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushahidi anao kiviruge wako!!😜
Mama J Yuko hapa hapa darNaam mkuu Job kule ila familia Dar
Sijui nitafute mamaJ Dom?![]()

Ntaweka tena jion au baadae nkitoka kazinSelfii yako mkuu jamani Hebu do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!

Ha ha ha....yule mkorofi Sana Ndo ManaWee huna hasira wewe!!! Naongelea Hasira za kuua mtu Hahah!
Ushahidi anao kiviruge wako!!![]()

Ooooh hapo sawa.



Namaanisha mwingine wa Dom
🙂🙂🙂🙂 unataka tenaaaMy bitter 🤣🤣🤣
Hiyo mi dislikes yako bado inaniuma