DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,311
- 109,416
Hahaa nkamu samaki za njiani sinunuagi kabisa maana sipendagi kula samaki ambazo hazina vitunguu swaumu na tangawizi labda dagaaNangurukuru moja hiyo
Usisahau samaki nkamu


Ooh thank you .Poa sana tunakimiss tuu.
Hii ni kama memes tu
Napitaga kimya kimya sana, mimi miongoni mwa wa kwanza kabisa hapa selfka ila ndio kuchangia sasa! Na ikipita leo sijui ni lini tena labda niwe msomaji tu.Ooh thank you .
Karibu selfika
Ndo nakuona leo humu au ulikuwa unapita kimya kimya .
Ooh okay .. uwe unakuja kutusalimia mara moja Mkuu .Napitaga kimya kimya sana, mimi miongoni mwa wa kwanza kabisa hapa selfka ila ndio kuchangia sasa! Na ikipita leo sijui ni lini tena labda niwe msomaji tu.
Haswa wewe nitakua nakupa like na haiOoh okay .. uwe unakuja kutusalimia mara moja Mkuu .
Shukrani


Karanga mbichi na Goma
Halafu binti jana eti anakuuliza kama una pumzi. Aje ajionee hapa sasa japo Wige alitoa ufafanuzi wa kina mpaka na migagani







Naomba niletee
Nice dress😍 japo umetubania rangiBinti wa MwakisweleloView attachment 2162147
Nimemshangaa sanaAcha kutupeperushia ndege bwana wengine hatujaoa
Ya rangi ataileta baba mtumishiNice dressjapo umetubania rangi

Tukisema ukweliMnanidanganyia sana mabinti zangu; hamsemi kama mmeoa. Waambieni tu ukweli, ili wakiamua kuwadangia wawadangie tu wakijua hapa hakuna future.
Angalau kwa Baba Joy tunajua kuja Joy![]()