cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296
As long as wahusika wote ni watu wazima (18+) na wanadanganyana kwa hiari yao mpaka wanakutana na hatimaye kujuana kuwa mmoja wao kaoa/kaolewa; na wakaendelea na urafiki wao sioni tatizo. Kama ni dhambi watapambana na Mungu wao...Na mabinti wengine wala hawataki fyucha....ni migegedano tu kwa kwenda mbele na kula maisha ...
Na mitandaoni humu ni sandakarawe tu pata potea sawa na huko mitaani. Na kama tulivyoonywa sana na Mkwere kuwa humu "akili za kuambiwa ALWAYS changanya na zako".
Ila umetoa angalizo zuri Mama Mchungaji. Afadhali enzi zetu miaka ya 60 haya mambo ya mitandao hayakuwepo. Sasa ni vurugu tupu yaani. Poleni sana kwa kweli!
Juzi tu hapa jamaa yangu amegundua kuwa binti ambaye walikutana mtandaoni huko sijui twitter sijui wapi kumbe ni mke wa mtu na yeye keshampenda kabisa kabisa. Yaani mpaka anatia huruma kwa jinsi anavyohangaika...




watu wanataka pesa na matunzo. Kuolewa na kuoa, sio shida zetu. Uwiiiiih








