cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,297
Hapa mwanangu hata mtoko Sasa tunaweza kuongozana sio Yale manguo yasio na vipimo









Hapa mwanangu hata mtoko Sasa tunaweza kuongozana sio Yale manguo yasio na vipimo









Uje umejipanga vizuri. Hakuna lelemama wala jomoni tyuuuh!![]()





ko umeamua unisimange hivi? Bas sawa nakubali. Baba joyyy. Hivi hujamuona mdogo ako Leo; alitupia kitu hatariiiiiiiii. Ameambiwa atupe mavitenge yake







Dogo unacheka nini
Haya changamka cocastic
Ndiyo
Umechelewa tumeingia kulala na babe

Kwa jinsi ulivyo mayai, boksi huliwezi mjukuu. Wewe soma mambo ya afya au hasa hasa mambo ya kompyuta na uyajue vizuri ukija huku unajipiga tu msasa na kozi fupi ya miezi mitatu unaingia mzigoni. Mshahara wa kuanzia $100K/yr + bonuses etc.ko umeamua unisimange hivi? Bas sawa nakubali.
Mie sina neno tena, ntakua mbeba boksi. Woiiiiiih
Huyu ni student wangu hawezi kuninyemeleaNdiyo
Ni unamnyemelea JP au![]()

Kumbe unafaa kupelek.... namna hii, bora nimekesha leo! Ulisema una miguu ya V? Basi nanyamazaMama alisema hutuoni wakubwa?
Sijawahi vaa toka nimenunua,lipo kwenye begiView attachment 2160880View attachment 2160882View attachment 2160883



Kakimbilia wapi sijui na yeye huyuHaya changamka cocastic