Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikuwa barabarani uliporusha ile ya mwanzo fasta nikatafuta sehemu nikapaki isinipite. Polisi kaja kaniuliza are you OK nikamjibu I am OK officer huku moyoni najisemea ofisa boya naye huyu. Hata hajui kuwa Bosi Ledi huku keshashusha mambo. Rahaa!
😂🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭 sitaki kucheka msukuma khakhaaaaaa
 
Nilishatoa laki moja keshi. Mtu ye yote anitafutie binti wa Kinyaki flati skrini kabisa hana hata kishundu kabisa cha kubingirika. Naona nitaishia kuila tu hii hela...

Kwa kifupi hakuna...

Imagine Mtakatifu aachane na magauni na masketi yake ya Ki-Abiudi weh!

Wakati wa uumbaji Mungu Aliindoka na udongo wake kutoka mikoa ya Kaskazini na kwenda kuumalizia wote huko kwa Wanyaki
Yaani huwezi amini nimezoom Ile picha ya kwanza zaidi ya mara 3 Kwa kutumia hii Miwani yangu ya mbao hadi ikanidondoka Chini na kupasuka 😂
 
Back
Top Bottom