Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Binti Abiud alivaa suruali?
Binti Abiud alivaa suruali?
Imagine ni last year mama mchungajiBinti Abiud alivaa suruali?
Hata wa mjini ushawahi kula ukoko ulio changanywa na maharage😋Ni malegendary tu wa kijijini ndio wanaelewa haya mambo ya kula ukoko![]()
Huu alioonyesha Saint Anne ni wa ugali mkuuHata wa mjini ushawahi kula ukoko ulio changanywa na maharage😋
Huu ukoko wa ugali sanasana ni vijijini kwetu kule.Hata wa mjini ushawahi kula ukoko ulio changanywa na maharage![]()




,ukiweka na harage acha kabisa.😋😋jamanii hivi Kuna siri gani kwenye ule utam wa ukokoHuu ukoko wa ugali sanasana ni vijijini kwetu kule.
Huu ukoko wa ubwabwa enzi za shule aisee,ukiweka na harage acha kabisa.
Nimekuelewa mkuuHuu alioonyesha Saint Anne ni wa ugali mkuu
Anavaaga za truck suit akiwa anapiga kazi za kuinama.Binti Abiud alivaa suruali?
Sijui uliwekwaga nini ule aiseejamanii hivi Kuna siri gani kwenye ule utam wa ukoko


Kabla sijawa yatima.Imagine ni last year mama mchungaji
Kumbe binti Abiud si wa mchezo mchezo
Nilimwambia anizibeBinti abiud
Mwambie mpiga picha asogee pembeni
Anaharibu picha
Binafsi naupenda sana❤️Sijui uliwekwaga nini ule aisee
Nimepitwa na picha yako ya kipini..fanya hima msomali wetu![]()
MweeehBinafsi naupenda sana
Picha ya kipini imekupita mpendwa siku nyingine my


Ukiweka na niniHuu ukoko wa ugali sanasana ni vijijini kwetu kule.
Huu ukoko wa ubwabwa enzi za shule aisee,ukiweka na harage acha kabisa.


Tiririka kidogoAsavali
Nilitaka nitiririke![]()
Back in the days, I rolled these streets,.......Umekumbuka nini mkuu.. maana sentensi ikianza tu na Daaah.. kuna jambo