Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Nilishaitumaga humu ma mchungaji.. Hujaiona??Irudie boss lady jamani
Nilishaitumaga humu ma mchungaji.. Hujaiona??Irudie boss lady jamani
Tinsley achana na binti AbiudMtatudanganya mchana kweupe
Sijaona. Irudie pleaseeNilishaituma ma mchungaji.. Hujaiona??
Yes dada .Aah ya kupunguza tumbo tu?
Ahsante mdogo anguYes dada .
Cha kuondoa kitambi hiki , flat tummy inavutia .
Ahsante mdogo angu

Ooh hips don't lie. Ahsante boss ladyNilituma hii ma mchungaji!View attachment 2159388
Ticha anakuta banda 😃😃😃.. kumbe ume cut hizi forgery zilikuwa zinaokoa sana... una mrudishia na hakati maala kila kitu kinaonekana ni yeye.. unakuta anabadilisha tu.. ila ndio ujasiri sijui tulikuwgaa tunatoa wapikabisa mkuu
Nimefanyaje sasa jamani 🙄
Mtwara kweli???😲😲😲Twende zetu Mtwara kule zinatosha na kubaki
Hapa njiwa kapepea tayari ngoja nihamie kule kwenye mabishano ya Urusi na Ukraini nisogeze muda.





ahsante kunchekesha mwee!kwanza mpk Leo ubao unasomekaje hukoo!!!vitaniMimi nilikua booonge nilikonda kwa kupunguza kula tu jioni ntatuma picha nilivokuaga kibonge!Jioni Usisahau kuniamsha nikapunguze hiki kitambi kwanza!
Uwii naomba nisiikose wii.. halafu msalimie sana pacha wako!Mimi nilikua booonge nilikonda kwa kupunguza kula tu jioni ntatuma picha nilivokuaga kibonge!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Uwii naomba nisiikose wii.. halafu msalimie sana pacha wako!






usijali dear au ntakuletea kwa PM yaani nilikua boonge shavu dodo kama mimba ya panya vile but nimemeneji mpk 68 but I can see nimeongezeka nna 70 sasa hivi zinakuja kuja tu kiajabuPost hapahapa tuone wote binausijali dear au ntakuletea kwa PM yaani nilikua boonge shavu dodo kama mimba ya panya vile but nimemeneji mpk 68 but I can see nimeongezeka nna 70 sasa hivi zinakuja kuja tu kiajabu
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app