Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Wacha wee, bas sawaa nakuaminiaaa.utulie nitakuhifadhia
Kaka yakoNani kasema Pep??
Huyo pep hata simjui.
Nitakuja na picha baadaye kuondoa huu mkanganyiko![]()

Unataka niweke pete yangu humu waroge ivunjike ndoa inishinde![]()





watu na ndoa zenu lol.kuanzia rangi ya kucha hadi nguo !Najua kwenye harusi ya Saint Anne utasimamia shoo kuanzia ukuchani hadi unyweleni kichwani!!mpaka rangi za kumbi zote!






Naye sijui nimkane tuKaka yako
Anajua yote hayo![]()



Ya wapi?watu na ndoa zenu lol.
Hahahaaa..mie nakutania tu mkuu nawawezea wapi hata! Siwawezi Nyie pambaneni na kina Anne tu mie mzee siwawezi!Thanks a lot!
Tatizo nikiwa spare tyre najua lazima tu nitapelekwa jela.
Kuna movie hapa nilikua naicheki inaitwa deep water hebu itafute, yupo Ben Afleck, jamaa alikua ananyatia michepuko ya mkewe anaua kimya kimya, achana chezea mapenzi.. Yanauma ati
Unitag plz nimuone huyo baba mchungaji.Nani kasema Pep??
Huyo pep hata simjui.
Nitakuja na picha baadaye kuondoa huu mkanganyiko![]()



Atapita kama upepoUnitag plz nimuone huyo baba mchungaji.![]()
Inabidi niongee na washkaji zangu wa UKOD waniambie kama tu'million 200 tunatosha kuanzia au nijiendee zangu vacation kuzitumbua.😄😄Basi iwe biashara ya kituo Cha mafuta, hopefully Ile milioni 200 uliyoanza kuitunza kwenye kibubu miaka Ile itatosha kufanya mtaji 💪💪
Atatuweza kweliHahahaaa..mie nakutania tu mkuu nawawezea wapi hata! Siwawezi Nyie pambaneni na kina Anne tu mie mzee siwawezi!
Etiiiiihhh !!Nani kasema Pep??
Huyo pep hata simjui.
Nitakuja na picha baadaye kuondoa huu mkanganyiko![]()





Humjui nani tena??? 




acha masihara aseeh!!

Na mimi nasubiri muikoseWeka nikiwepo bas mie.![]()
Boss lediiiEtiiiiihhh !!Humjui nani tena???
acha masihara aseeh!!
![]()




SuuNaye sijui nimkane tu
Sema su nikuonyeshe shemeji yako maana naona unakadiria mno aisee![]()









