Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,840
- 57,483
Sawa, niagize nikuletee kilo ngapi za hivyo?😂Mimi napenda hiyo chata![]()
Sawa, niagize nikuletee kilo ngapi za hivyo?😂Mimi napenda hiyo chata![]()
Wewe na Mjep tutajenga mabango yenu aisee
Tunaweka na lamitation.






Santo sana ma mtumishi!!!

Duh amekuwa mbaya weekwenye kunenepa mie kwangu yuko fresh, sema apunguze tumbo tyuuh, ila sasa akiwa mbele ya camera, woiiiiih dunia yote yake khaaaah. Akianza kupiga kimomboo sasa
![]()



Amelengesha kimo changu





itabidi aje atueleze hapa ni nani huyo, sie hatutaki kukosa vocha yaan. UwiiiihJuzi nilikuahidi vocha zako.. sorry mambo yaliingiliana ila jioni as usual!!! usikoseWoiiioii
Hatari na nusu
As usual,hakuna nguo inakukataaa
Ila hii niAlooo
Kwani umesahau somo la Geography Ile topic ya Map reading tunapima urefu wa Barabara au Reli kwakutumia Uzi/Kamba![]()





Yaani ni hatariHizo kucha Anne akasome mbona!Rangi imekaa penyewe!




Moja tu yenye hiyo chataSawa, niagize nikuletee kilo ngapi za hivyo?![]()
Eeeeh zamani alikua mcharooo mno, sio sahivi mmmhDuh amekuwa mbaya wee
Inabidi aurudie ule mwili wa zamani
Ule ulikuwa![]()



Kama yupo huyo mtu tutadeal naye jumla jumla
Uzuri nakujua wewe hauna uswahiliJuzi nilikuahidi vocha zako.. sorry mambo yaliingiliana ila jioni as usual!!! usikose




Hurrrrrayyyyy kwa Mama mchungaji hurrrrrayyyyy!!Maombi yangu yamepokelewa
Mama mchungaji![]()



!!