Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nipo shos nipo... weekend nilitingwa na harusi dia..
Kama sijakosea Rangi ya Chakorii ya harusi!View attachment 2159146
Shouzzzzzzzz mbna umenitamanisha mnoo hilo vazi, [emoji7][emoji7][emoji7]
Plz fanya tushone saree aiseee lol, [emoji23][emoji23][emoji23]
Siku ya harusi yangu utakua mpambe au msimamizi wangu [emoji8][emoji8][emoji8]

Utachagua rangi wee, weuweeeeeeh [emoji177][emoji177][emoji177]
 
Tunahitaji vocha sie hapa, tena mie za halotel tyuuh.

Username "voucher" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na hivi mmenisifia; mtajuta mwaka huu
IMG-20220321-WA0003.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo shos nipo... weekend nilitingwa na harusi dia..
Kama sijakosea Rangi ya Chakorii ya harusi!View attachment 2159146
Woiiioii[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Hatari na nusu


As usual,hakuna nguo inakukataaa
Ila hii ni[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Alooo
 
Tunahitaji vocha sie hapa, tena mie za halotel tyuuh.

Username "voucher" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana mtakua mnamkosea kabisa shos! Mjep aheshimiwe tafwazali wee huo moyo alionao sio wa nchi hii ujue! wengine vocha za jero tu wanamute mazima kama hawajaona maombiya vocha nashauri jina lenye heshima zake pullliiizzzzzzzzzzzzzzz![emoji12][emoji12][emoji118]
 
[emoji1787]
Miguu ya kiafande sele

Hatupo mbali,Mimi ni 39 na 40 ..inategemea na kiatu chenyewe ila sanasana 39.
Nina bonge la guu yaani.


Dah nikivaaga viatu virefu unakuta nipo kule juu...nikiangalia tule tutoto naimba Nato,tunaniangalia Kwa mbaliii kule juu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti tutoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom