Mnadhani wanaume hatufulii,Hilo ndy tatizo lenu kubwa wanawake..Na Kwa sababu ya ego wanaume tunakufa mapema na Tai zetu shingoni tukijifanya hakuna mawimbi yanayotupiga
Labda kama ulitumia no ya bwana shemeji...
Kwa no zako ninge-call back
Afu mie na utu uzima huu nachambaje kwa mfano??
We jipange na ma favorite 🍷 tu❤️
Jamaa wakuda nilikopa elfu 10,000 nilijuta.. utapigiwa simu utatumiwa sms.. utafikiri wanakudaia millions of money.. hadi kuna siku niliwabadirikiaa ndio