reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,306
Relaaaxxx..life ni fupii!!tusamehe Mara 7 sabini!!!Dah
Naumia mimi binamu.
Ngoja ninywe maji...
Huyo boya mbingjmuni haendi.
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Relaaaxxx..life ni fupii!!tusamehe Mara 7 sabini!!!Dah
Naumia mimi binamu.
Ngoja ninywe maji...
Huyo boya mbingjmuni haendi.
Saint Anne akikujibu nitag Kesho nianzie hapo...... usingizi umenizidia!!hivi ushawahi kua ktk mahusiano?
Kanani?Kaache kakue kwanza














Love iz byurifuuuu
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe bina![]()



vita zangu utaweza bina...!!!


nikipenda nafalll mpk nakua mwehuu ila nikiacha naacha kama sijawahi kukuonaa!!!Saint Anne akikujibu nitag Kesho nianzie hapo...... usingizi umenizidia!!

Selfika wewe...acha uchoyo




huu ni mda wa chatting tyuuh, selfie had kesho.Na kuna mazingira ambayo ni even worse kwa watoto; hata kama wanalelewa na wazazi wote wawili. You simply traumatize the innocent kids. Na wakati mwingine ni bora tu muachane kuliko kuja kuchomana gunia za mkaaOooooh hapo sawa mlongo, ila daah najisikia vibaya wazazi wakiachana, huwa tatizo kwa watoto![]()
Ya nini sasa??
Tule kwanza ugali wa nyumbani..
Huu siyo muda wa kutafuta matatizo![]()





hujalewa swali au kusudi tyuuh?Yaani wewe ndio mimi kabisavita zangu utaweza bina...!!!
nikipenda nafalll mpk nakua mwehuu ila nikiacha naacha kama sijawahi kukuonaa!!!
Ile unaulizea huna kwenuuu!!!!maana sio kwa matukio hayoo unayopigwa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app

.
Napenda sana fasihi na nimesoma vitabu vingi sana. Vya Shaaban Robert vyote, vya Kezilahabi vyote, vya Musiba vyote, vya Mohammed Said Abdullah vyote, vya Ngugi karibia vyote, vya Achebe karibia vyote...na vingi vya falsafa...
Kulikuwa na sababu kwa nini Fasihi ilikazaniwa sana katika akademi za Wagriki wa kale japo mkazo hasa ulikuwa kwenye Hisabati. Ni kwa sababu, pamoja na falsafa, fasihi inapanua sana uwezo wa kufikiri na kujenga hoja. Inakufanya uyaone maisha na malimwengu katika mawanda mapana; na kuona masuluhisho mengi kwa matatizo yale yale yanayokukabili...ndiyo maana ni nadra sana kwa watu waliosoma sayansi kuwa viongozi wazuri kwa sababu wao humwona binadamu kama mashine tu inayojiendesha kwa kufuata kanuni maalum jumuishi zilizosimama tisti na huwa wana tabia ya kutumia maguvu. Kumbe kama wangesoma fasihi na falsafa wangetambua kwamba binadamu ni kiumbe tata sana ambaye kamwe hawezi kubanwa na mfumo au mkondo mmoja wa kufikiri na kimaisha.
Tuje tukutane shem tuongee haya mambo huku tukitafuna kuku watamu wa pale kiotani Tango...Na wanangu akina Minza wawepo![]()






na fasihi nafikiri ndo ilitumika na kina Aristotle kipindi hiko kufikikisha ujumbe kwa watawalaAtajua hajui yaan





Kwani umesemaje mdogo etu?hujalewa swali au kusudi tyuuh?
Ya nini sasa??
Tule kwanza ugali wa nyumbani..
Huu siyo muda wa kutafuta matatizo![]()



Anne una nini lakini na ni matatizo kwelii!kudili na mtoto wa mtu meno 32 kaahhhHakikaRelaaaxxx..life ni fupii!!tusamehe Mara 7 sabini!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app

Usiku mwema shouzzzzzzzz ake. Ulale unono.Saint Anne akikujibu nitag Kesho nianzie hapo...... usingizi umenizidia!!
AchiaaaaaaaaaaaaaaHallelujah
Motoo
Motooo
Wa Yesuuu
Achiaa shetani
vita zangu utaweza bina...!!!
nikipenda nafalll mpk nakua mwehuu ila nikiacha naacha kama sijawahi kukuonaa!!!
Ile unaulizea huna kwenuuu!!!!maana sio kwa matukio hayoo unayopigwa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app










Bora hata awe na mapengo ntamuelewaAnne una nini lakini na ni matatizo kwelii!kudili na mtoto wa mtu meno 32 kaahhh
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app




Baby mama wangu alinizunguka aisee. Akaenda akamchimbia mama kisima cha maji bila mimi kujua. Na vitu vingine vingi. Sikukuu zote mimi siombwi kitu kumbe ni mwinga wake keshafanya. Yaani walikuwa wanapendana hatari. Mpaka mama akiumwa anatafutwa yeye kwanza na siyo mimi...hata baada ya kutemana naye bado wakabakia kuwa karibu; and this was super awkward to me. Yaani alikuwa anamwona kama binti yake kabisa. Mpaka wengine wakawa wanasema pengine kwa vile mimi ni kitinda mimba basi alikuwa amehamishia upendo huo wa last born kwa huyo binti.Wallahi sijisifu mstari wa mwisho ndo ilivyo yaani!!namheshimu to core mpk mwinga mmoja ashawahi uliza huyu mama Minza mbona anapendwa japo hayupoo!w
Naweza kua nilikua na weakness zangu nyingi pia siwezj sema!
Ila wamama wa kisukuma wakikupenda utakula vyan ndani ,shimba,wigeleko na t elly ,wamama zenu wako poa sana hongereni
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app