Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Toka sasa shetani


Toka sasa shetani


Maisha ya ndoa yana changamoto mno, Jah awe anasimama na wanandoa tyuuh.Na kuna mazingira ambayo ni even worse kwa watoto; hata kama wanalelewa na wazazi wote wawili. You simply traumatize the innocent kids. Na wakati mwingine ni bora tu muachane kuliko kuja kuchomana gunia za mkaa
Hehehej nikalale mieYaani wewe ndio mimi kabisa
Mtoto wa mtu asije tu niletea drama jamani...mbona ntachizika kwa stress..ukizingatia huyo mtoto wa mtu ndio nategemea awe baba.
Mungu ni mwaminifu sana.![]()
Yaani wewe ndio mimi kabisa
Mtoto wa mtu asije tu niletea drama jamani...mbona ntachizika kwa stress..ukizingatia huyo mtoto wa mtu ndio nategemea awe baba.
Mungu ni mwaminifu sana.![]()







utatupa mrejesho.Mtu anakupiga matukio hadi watu wanahisi wewe mkimbizi dahvita zangu utaweza bina...!!!
nikipenda nafalll mpk nakua mwehuu ila nikiacha naacha kama sijawahi kukuonaa!!!
Ile unaulizea huna kwenuuu!!!!maana sio kwa matukio hayoo unayopigwa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app

Sometimes bora kua hvyo kuliko mateso don't ever accept kuteseka for the sake of kids mambo mengi yanavumilika ila sio manyanyaso mwisho utaambulia kifo which is too worse na watoto watakosa malezi ya wazazi mmoja jela mwingine kaburini!!Oooooh hapo sawa mlongo, ila daah najisikia vibaya wazazi wakiachana, huwa tatizo kwa watoto![]()
Selfika kwanzaHehehej nikalale mie
Yaani kuomba kote picha kule unanipa kiduchu hivi?

Wagawane mia mia
Si nimefanya uungwana eti bina










acha kwenda kwenye uzi wa road trip!!!unawehukaaNimekuuliza ushawahi kuwa ktk mahusiano.Kwani umesemaje mdogo etu?
Ngoja upende dogooAh wapi wee
Jambo unaloliweza usimwachie Mungu![]()
Anne una nini lakini na ni matatizo kwelii!kudili na mtoto wa mtu meno 32 kaahhh
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app









You ain't seen nothing yet...Yaani wewe ndio mimi kabisa
Mtoto wa mtu asije tu niletea drama jamani...mbona ntachizika kwa stress..ukizingatia huyo mtoto wa mtu ndio nategemea awe baba.
Mungu ni mwaminifu sana.![]()




AfadhaliHehehej nikalale mie
acha kabisa.Kule nishaachaacha kwenda kwenye uzi wa road trip!!!unawehukaa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app

Bora hata awe na mapengo ntamuelewa
Ila mwenye meno yote dah
Dunia hii
Watu wazuri ndio wanaumizwa![]()







Ahh inatosha 🤣🤣🤣🤣 uliomba mkono.. Nimekupa sehemu ya uso, huridhiki mtakatifu Anne 😁😁Yaani kuomba kote picha kule unanipa kiduchu hivi?![]()
Najua Sana'a
Mkiniona sasa ninayeongea haya hata kiganjani sijai![]()




kammbuuuYa nini sasa?Nimekuuliza ushawahi kuwa ktk mahusiano.
Sio uchumba wala ndoa, ni mahusiano tyuuh.
