[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]akaaaahhh!hivi wako serious hao vichaa mweehh yaani ningecheka balaa..nilijua wataishia matusi tu hao...wanaomba vocha baada ya matusi kenge hao..wiki ilopita nilitumiwa meseji kama hyo ya mrengo hukoo!akasema yeye hawezi piga maana simu yake maiki mbovu hatutasikilizana ,nkamtumia SMS nkamuambia huyo mjomba ako mwenye pesa za biashara muambie akupe utengeneze simu kwanza then ndo afanye biashara na Mimi asoniju..maana alisema mjomba ake tajir kuna business anataka afanye inamlipa hvyo aniunganishe nae!
Hawa matapel sasa [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3]mwee
Sent from my Infinix X559C using
JamiiForums mobile app