Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
Imenipita
Naona nilikuwa busy na waitress
Naona nilikuwa busy na waitress
C numeweka Co mda hapa wee.![]()
C numeweka Co mda hapa wee.![]()
Nakuambiaje huko jeshini wala siendi khaaahMguu una uvungu mzuri
Maliza shule tukutupe jeshini![]()





Mimi ndio nilikuwa nawapigiawanataka uwarudishie capital yao waliotumia kuongea na wewe














Anne mpambe tu!!Dada uchawa na upapasi unauweza uko vzrmweehh
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Tabia mbaya hiyositaki mnione bhana
WeuweeeeeeeeeeeeehTanteeeeeekama kawaida yako.. full kutokelezeaaa
![]()






...cocastic naomba hiyo picha dea 😎
Afu mwambie Wigelekelo aje hub tukapulize kakitu 🤣🤣🤸🏻♀️View attachment 2155813
Wamenitukana
Wao wamekuja kwa gia ya biashara.
Na mimi nimeenda nao hadi mwsho..
Kama saa zima naongea nao
Huyu anasema mpigie huyu mwambie hivi?na mm nafata maelekezo hivyohivyo..anasema mpigie tena mwambie hivi
Hivyohivyo nafata
Wakajua wameniokota kweli
Sasa mwishoni nilikuwa nimemuweka conference rafiki yangu anasikiliza
Akaangua kicheko
Wakasikia
Akawaambia sasa mnataka kumuibia dada jamani
Weee mmoja ameporomosha matusi..mwingine anasema basi naombeni hata hela ya vocha jamani
Kumbe wamekaa wote sehemu moja
Tukamwambia mwenzio ametutukana ?tungekupa..anasema ngoja nimwambie awaombe msamaha jamani..mnipe angalau ya vocha tu![]()



















akaaaahhh!hivi wako serious hao vichaa mweehh yaani ningecheka balaa..nilijua wataishia matusi tu hao...wanaomba vocha baada ya matusi kenge hao..wiki ilopita nilitumiwa meseji kama hyo ya mrengo hukoo!akasema yeye hawezi piga maana simu yake maiki mbovu hatutasikilizana ,nkamtumia SMS nkamuambia huyo mjomba ako mwenye pesa za biashara muambie akupe utengeneze simu kwanza then ndo afanye biashara na Mimi asoniju..maana alisema mjomba ake tajir kuna business anataka afanye inamlipa hvyo aniunganishe nae!



mweeKama ni yule wa gushepu hajamfikia boss ledi wetu jamani
Boss ledi hafananishwi na chochote.
Tena boss ledi wetu ana kiuno nyigu
Yule anacho?????
We boss ledi ni mtu na roho wewe dgo..moto wa kuotea mbali kabisa.






sikuwezi hata.Mmoja anaomba vocha..mmoja ashapanic anatukana..sisi tunacheeeekaakaaaahhh!hivi wako serious hao vichaa mweehh yaani ningecheka balaa..nilijua wataishia matusi tu hao...wanaomba vocha baada ya matusi kenge hao..wiki ilopita nilitumiwa meseji kama hyo ya mrengo hukoo!akasema yeye hawezi piga maana simu yake maiki mbovu hatutasikilizana ,nkamtumia SMS nkamuambia huyo mjomba ako mwenye pesa za biashara muambie akupe utengeneze simu kwanza then ndo afanye biashara na Mimi asoniju..maana alisema mjomba ake tajir kuna business anataka afanye inamlipa hvyo aniunganishe nae!
Hawa matapel sasamwee
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app




@reymage shauri yako![]()
Ya nn?Tabia mbaya hiyo
Kupendwa raha sana thank youFor you my one and only wizo! usitoke





mmeona mamacitaaKwahiyo wewe ukitoka ni lazima uende clubs??Sasa wapi wee?![]()
😜😜🤣🤣🤣🤣😜😘😘😘😘😘♥️Kupendwa raha sana thank yoummeona mamacitaa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app