cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Sitakiiii nawewe weka chako!! ...Tunaomba ya kiuno tu our very ownboss ledi jamani![]()
Kuna tapeli amenipigia simu
Kweli maisha ni magumu mtaani
Sasa sijui anataka kunitapeli nini wakati hela sina.
Nimemsikiliza weee Hadi mwisho nikamwambia asihangaike sana mimi hela sina.





mbavu zangu mie jamam khaaah,Unabahati hajakutolea lugha mbaya mimi kuna mmoja alinipigia simu ana lalamika amekosea namba ameweka pesa kwenye Account yangu nikiwa namsikiliza ghafla nikashangaa ana nitukana why simjibu![]()







Basi leo sikuwa na bahati yaani. Basi tu acha nipambane na hali yangu...Na umekosa mengi, ungezimia bure tukukose kaka yetu, maana mikao ileile inayokukoshaga
Hivi smile la bosi ledi umeshaliona lakini???Tunaomba ya kiuno tu our very ownboss ledi jamani![]()



Jamani boss ledi wetu weweSitakiiii nawewe weka chako!! ...



Mimi nilikuwa namjibu hadi mwisho
Namuuliza nani,?
Kanitajia jina hata silijui..
Namuuliza ndio nani anasema hunikumbuki?
Mimi ni Fulani Fulani
Nikaona nimsikilize,
Anauliza Niko wapi nikamtajia.
Anasema yeye yuko mahala fulani,anafanya kazi huko na kampuni gani sijui..anatafuta mashine..
Hizo machine Mbeya wanauza bei rahisi kwahiyo amenipa dili ili tupige Hela..
Ataniunganisha na mtu,huyo anaziuza mashine...nimpigie aniuzie halafu kwenye risiti aandike hela pungufuinayobaki juu tunagawana.
Nikipiga nimwambie kaka Daudi amenipa namba
Anauliza nikutajie namba??
Nikamwambia nitumie kwenye msg..
Akatuma,akapiga Tena
Haki ya naninimecheka Mimi.






wallah nacheka km chizi hapa uwiiiihTayari shouzzzzzzzz hiyo picha?Usiwaze shos badae ntatupia
Weeeeehhhh mi naona ya jana usiku ulinoga hatari!





shouzzzzzzzz acha kunijaza bas nawee.Sio moja sasa kama tano hivi!Tayari shouzzzzzzzz hiyo picha?
Ameeeeeeeen!!!!View attachment 2155583
Ni jukumu letu sote kuendelea kukumbushana umuhimu wa kuwa na afya njema Kwa watu wa Rika lote. Though msisitizo zaidi uendelee kutolewa Kwa vijana wanaochipukia.
Unapokuwa unaugua mara kwa mara huathiri kipato chako pamoja na kuathiri shughuli zako za maendeleo Kwa ujumla, kwani itakulazimu kuhudhuria kazini mara chache wakati muda mwingi ukitumia hospitali kujiuguza.
Sio HIV tu bali hata maradhi mengine pia yachukuliwe Kwa uzito unaostahili hasa Pressure, Kisukari, Moyo, Saratani n.k hasa kwa sisi Wazee
God is good all the time![]()
Sana tuu ..Basi leo sikuwa na bahati yaani. Basi tu acha nipambane na hali yangu...
We ulishawahi kuselfika hapa?
Hapana jamaniHivi smile la bosi ledi umeshaliona lakini???![]()



















Uko vzr aseehhh!!hukatai asili yako na unajivunia fakhari yako big up Sana'a!!mpwa anajua kisukuma kweli hukoo?!!
Kwa kweli uko vzr kabisaa!kuna mbalu,buyegi,ng'walu,nchambi!majina ya mashangazi hayoo!!!
Kumbe eminza limetokana na babinza
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
NdyoooooohStay there muda si mrefu nashusha vitu!!