Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Mimi nilikuwa namjibu hadi mwisho

Namuuliza nani,?
Kanitajia jina hata silijui..
Namuuliza ndio nani anasema hunikumbuki?
Mimi ni Fulani Fulani

Nikaona nimsikilize,
Anauliza Niko wapi nikamtajia.
Anasema yeye yuko mahala fulani,anafanya kazi huko na kampuni gani sijui ..anatafuta mashine..
Hizo machine Mbeya wanauza bei rahisi kwahiyo amenipa dili ili tupige Hela..
Ataniunganisha na mtu,huyo anaziuza mashine...nimpigie aniuzie halafu kwenye risiti aandike hela pungufuinayobaki juu tunagawana.
Nikipiga nimwambie kaka Daudi amenipa namba

Anauliza nikutajie namba??
Nikamwambia nitumie kwenye msg..
Akatuma,akapiga Tena
Haki ya nani nimecheka Mimi.
wallah nacheka km chizi hapa uwiiiih
 
View attachment 2155583
Ni jukumu letu sote kuendelea kukumbushana umuhimu wa kuwa na afya njema Kwa watu wa Rika lote. Though msisitizo zaidi uendelee kutolewa Kwa vijana wanaochipukia.

Unapokuwa unaugua mara kwa mara huathiri kipato chako pamoja na kuathiri shughuli zako za maendeleo Kwa ujumla, kwani itakulazimu kuhudhuria kazini mara chache wakati muda mwingi ukitumia hospitali kujiuguza.

Sio HIV tu bali hata maradhi mengine pia yachukuliwe Kwa uzito unaostahili hasa Pressure, Kisukari, Moyo, Saratani n.k hasa kwa sisi Wazee

God is good all the time
Ameeeeeeeen!!!!
 
Uko vzr aseehhh!!hukatai asili yako na unajivunia fakhari yako big up Sana'a!!mpwa anajua kisukuma kweli hukoo?!!
Kwa kweli uko vzr kabisaa!kuna mbalu,buyegi,ng'walu,nchambi!majina ya mashangazi hayoo!!!
Kumbe eminza limetokana na babinza

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app

Nikifika home nitakufafanulia maana ya majina haya na muktadha wake.

Mpwa ilibidi ajifunze ili aweze kuongea na bibi yake kwa sababu bibi alikuwa hajui lugha nyingine. Mpwa alikazana mpaka wakawa wanaelewana kabisa hata kusimuliana hadithi za Kisukuma, kuimbiana nyimbo na michapo mingine...
 
Back
Top Bottom