Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Kabisa. Sio mambo ya kupakwa make up utafikiri umepakwa unga; wengine ndiyo wanakandika foundation hadi sura inakuwa nzito kama uji mweehThank you ...
Simple lakini unapendeza
Kabisa. Sio mambo ya kupakwa make up utafikiri umepakwa unga; wengine ndiyo wanakandika foundation hadi sura inakuwa nzito kama uji mweehThank you ...
Simple lakini unapendeza
Hahaha kweli dearKabisa. Sio mambo ya kupakwa make up utafikiri umepakwa unga; wengine ndiyo wanakandika foundation hadi sura inakuwa nzito kama uji mweeh
Hahaha kweli dear
Unakuwa hupendezi hata mbaya zaidi ukute wanatumia foundation mbaya zile ..
Kikubwa kwenye kupakwa foundation ni muhimu waangalie skin tone yako , Sio wewe mweusi wakupake ya mtu mweupe hapo unabaki kuwa kichekesho .
That's so true ...sie weusi ndo kama umekosewa kupakwa inabidi upunguze tu .Na MUAs wengi naona kwa watu weupe wala hawana tatizo; kwa sisi vyeusi mangala sasa, hukawii kuchekesha
Yes ukienda saluni za mtaani; basi jiandae tu kufuta hiyo make upThat's so true ...sie weusi ndo kama umekosewa kupakwa inabidi upunguze tu .
Sema hizi saluni za mtaani au upakwe na mtu hapo kuna asilimia kubwa za kutopendeza au kukandikwa foundation tu hapo .
AbsolutelyYes ukienda saluni za mtaani; basi jiajdae tu kufuta hiyo make up
Aaaaah wapi wee, ndani ya chombo kwa hewa tena kwa dere kabisaa.Mimi ni mpiga picha tu mdogo wangu![]()



Hahaha kweli dear
Unakuwa hupendezi hata mbaya zaidi ukute wanatumia foundation mbaya zile ..
Kikubwa kwenye kupakwa foundation ni muhimu waangalie skin tone yako , Sio wewe mweusi wakupake ya mtu mweupe hapo unabaki kuwa kichekesho .








Na MUAs wengi naona kwa watu weupe wala hawana tatizo; kwa sisi vyeusi mangala sasa, hukawii kuchekesha








pili pili hiyo 🙄🙄chai hiyo masala.. kamuwasho kaliko balance
anaejua dawa ya Ulcers hata ya kienyeji yaani kwa mwezi haipiti mara mbili lazima nikachomwe sindano