NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Duuuuuh hii mbna ni hataree khaaah. Sio kwa hizi mweeeeh.
Maji yaliyobarikiwa 
Duuuuuh hii mbna ni hataree khaaah. Sio kwa hizi mweeeeh.
Maji yaliyobarikiwa 
Khaaaah wee ndo zote hizo, afu tofauti tofauti sasa mbna mtaunguza viungo vya ndani uwiiiiih.Maji yaliyobarikiwa
![]()
Mweeeh mweeeh 🙆Ndiyo Anko ila siyo zile kubwa,ni hutu tudogo. Nikikosa ada za wadogo zako ndo najilipua nilale vizuri.
Pole dear ..anaejua dawa ya Ulcers hata ya kienyeji yaani kwa mwezi haipiti mara mbili lazima nikachomwe sindano
Jana umenihujumu.Pole sana nkamu, nicheck
Unasali kwa nani?
Kwa MuumbaUnasali kwa nani?
Ili unywe??Kwa Muumba
Weka sasa tuone🥰Kuwa mpoleee bhana cc, soon.
Khaaaah wee ndo zote hizo, afu tofauti tofauti sasa mbna mtaunguza viungo vya ndani uwiiiiih.
.Ewaaa...
Sijakuhujumu mama mchungaji nilishangaa tu ulipotelea wapi sababu wakati narusha hapa nilikuona upo nikahisi unazichukua kimya kimya na nilikutag kabisaJana umenihujumu.
Kwanini?
Hapo hata usijali hakuna kinachoungua.





Duuuh pombe za bei mbaya mnoooo mweeeeh. Kaa hapa hapa.Ewaaa...
Weka na ingine ya jana