Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Ndiyo sasa castle lite nayo ni beer? Hizi huwa tunakunywa siku tukiwa tunajisikia uchovu baada ya kutoka kupiga kazi nzito!
Juisi??
Ndiyo sasa castle lite nayo ni beer? Hizi huwa tunakunywa siku tukiwa tunajisikia uchovu baada ya kutoka kupiga kazi nzito!
Juisi??
Ndiyo sasa castle lite nayo ni beer? Hizi huwa tunakunywa siku tukiwa tunajisikia uchovu baada ya kutoka kupiga kazi nzito!




Eeh hatutaki🤣🤣Hamtaki pigo za kina Abiudi (kwa Sauti ya Billi)![]()
NzuriHii hapa dear ..
Mimi nina nyusi nyingi walinitinda vizuri .View attachment 2155350
Thank youAmina
Mim huku niko poa/salama kabisa namshukuru MUNGU
KARIBU
Anasema hizo waeni huko huko na Manabii wenuEeh hatutaki![]()

Ooh thank youNzuri
Na jicho unalo![]()

Jicho jaman jicho, woiiiiiiiiiihHii hapa dear ..
Mimi nina nyusi nyingi walinitinda vizuri .View attachment 2155350







Hivi kwamba haujui kama shemeji yako halali upo naye huko huko?
Au unaye mwingine?![]()



wacha weeEeh thank you ..Jicho jaman jicho, woiiiiiiiiiih![]()
Ilete, MC nipo hapa mie.Sijui na mimi nilete picha yangu ya hivi.
HS nilete nisilete?![]()
Ila muwe nyie, wee na shem yaan
Yaani yenye watu wawili kama hivyo




Eeeh ndiyo maana yake. Usilete ambayo umevaa kama upo na Abiud






mbavu zangu mie uwiii lolWameikataaIlete, MC nipo hapa mie.
