Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,840
- 57,483
Nimewapa Ujumbe walinzi hapo getini, ukifika utaruhusiwa tu kuja kuniona.Kingine nimesimama mlangoni nasubiri kufunguliwa
Ulinzi ni muhimu sana Kwa sisi wazee hasa wakati huu Dunia ina changamoto ya COVID-19 na Vita ya Ukraine na Russia 😀










