Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapa umeua Mkuu, kumbe kazi ya uhamasishaji Mkuu Depal anaweza sana.

Sijui nimpe zawadi ya ekari ngapi za mashamba kule Kijijini, Kwa kazi kubwa aliyoifanya
Depal anajua kuhamasisha sn
Kwa sasa Mimi ni arsenal

NB:jezi haina nembo ya timu yoyote Kwa hiyo nisihusishwe na club yoyote inayofanana na hii jezi..Mimi ni aseno damu
 
kwema wakuu
IMG_20220309_153212.jpg
 
Wee mzee hata ushawishi hujui, umepoa km mkojo wa mbuzi, afu hata hujiongezi, kiufupi huna maajabu,

Wenzako ombi sio maneno, ni muamala kila kitu kinaji sett automatically, kwan unakwama wapi,

Mie muongo eti shouzzzzzzzz mahondaw

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Coca niacheee mie please!!!!!!!!
!
Akili zako sasa mngoni wewe uwiiiii!!
 
Hilo sio la kuuliza, wee huwasikii wasanii wanavoimba kila siku uno la kingoni?
Kwa upande wa mzagamuo, pale kitandan hakna wa kuwafikia wangoni, tz nzima inasubiriiiii, woiiiiiiiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Wauuweeeeeeehhhhhh!! Nitakuja unipe kozi na maujuzi shos angu!! Nataka nimfurahishe mpaka basi bosi wangu miyeeeee sitaki kumuangusha kabisa yani!
 
Back
Top Bottom