Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Daah baba Joy Mungu akuweke sana. Yaani tangu nione hii comment ni ninacheka hadi machozi. Kwa nini kumtaja Mtumishi wa Mungu lakini?
Watu na mapenzi Yao.
Kwangu Mimi mwenye nguo ya staha ndiye ananivutia zaidi kuliko pedo.
Screenshot_20220224-123112.jpg
 
Daah baba Joy Mungu akuweke sana. Yaani tangu nione hii comment ni ninacheka hadi machozi. Kwa nini kumtaja Mtumishi wa Mungu lakini?
Sijui kwa nini kamchagua Abiudi Misholi. Nina CD zake kama nne hivi imebidi nikazitafute yaani. Huu wimbo wa Tenda Miujiza Naupenda sana. Nimeusikiliza huku nacheka yaani. JF bana dah!
Screenshot_20220316-170147_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom