Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Dogo anaishi sijui wapi.. swala mavazi lipo sana kitamaduni na ki mazingira.. kuna wadada na wamama nawajua wapo deep deep spiritual and Holy ila ukikuta min wanazo piga utapenda.. au suruali na wanapendeza.. mazingira waliyo kulia na tamanduni zao.. aende kuangalia kanisa la Joel Osteen.. labda ataachana na itikadi zake 😃😃😃Hapa naungana na wew hakuna hio dhambi kabisa maanake wazungu wanavopiga zile bikini zao vibukta wote Wana dhambi hah





