Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aiseee
Basi tufanye umeshinda wewe unayejua kila kitu,mtaalamu wa mambo yote ya kimungu hapa duniani
Yes... Mie ni mshindi dogoo.. kama umekubali kushindwa sawa ila kama bado still napigilia misumali hakuna dhambi itokanayo na mavazi au uvaaji..
 
Hili ni jipya. Unamaanisha tuishi tutakavyo kwa sababu damu ilishamwagika
Biblia haina maana hiyo, na haisemi kwasababu Neema ipo haimaanishi tutende dhambi, sie tulio ifia dhambi pamoja na Kristo kwa Imani inakuwaje tuishi tena katika dhambi? la hasha tumekufa pamoja na Kristo, tumefufuka na kristo tumuishie Mungu tuzae matunda yapasayo toba na haki
 
Back
Top Bottom