Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aiseee
Basi tufanye umeshinda wewe unayejua kila kitu,mtaalamu wa mambo yote ya kimungu hapa duniani
Yes... Mie ni mshindi dogoo.. kama umekubali kushindwa sawa ila kama bado still napigilia misumali hakuna dhambi itokanayo na mavazi au uvaaji..
 
Pedo sio dhambi, kimini sio dhambi, suruali sio dhambi, vipini sio dhambi, vikukuu sio dhambi na urembo inshort sio dhambi.. ukitaka kimaandiko nita prove, ukitaka kisiasa nita prove na ukitaka kimazoea pia nita prove [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Prove hapa tuone, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hili ni jipya. Unamaanisha tuishi tutakavyo kwa sababu damu ilishamwagika
Biblia haina maana hiyo, na haisemi kwasababu Neema ipo haimaanishi tutende dhambi, sie tulio ifia dhambi pamoja na Kristo kwa Imani inakuwaje tuishi tena katika dhambi? la hasha tumekufa pamoja na Kristo, tumefufuka na kristo tumuishie Mungu tuzae matunda yapasayo toba na haki
 
Back
Top Bottom