Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Walokole
Waliokoka kwa 100%
Wanayoyaishi maisha ya utakatifu at least kwa 85%
Nguo fupi kwao ni dhambi/ haijakaa sawa kimaadili.






walokole gani hao.. mbona walokole wengi wanachapa mini, skin jeans pendo etc.. na wapo on fire kuliko wavaa majuba 😎😎
 
Wewe watu kuona wanacheka wanafurahi na wewe sio kwamba mpo kundi moja.. dhambi ni dhambi na haki ni haki
Eeeeeeh sasa nan kasema hilo? unajistukia tyuuh, kwanza mie na mambo ya dini wapi na wapi? Poleeeni leo mmekutana wote mnaoijua dini vizuri, sie tunawatazamaa tyuuh.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Ushindi kama umenipa usi ni quote ndio nitajua imeisha ili tuendelee kutupia selfi matata
Naona bado unahangaika kusema sijui chochote wakati ushindi ushaupata

Na tushakuadd kwenye ile list ya magenius wa kila kitu humu ukimfuatia Popoma mzee wa multiple ids.
 
Utamaduni wa Msukuma ni polygamy. Je wasukuma walipaswa kuhubiriwa ukristo na kuendelea na utamaduni wao?
Kipi ni sahihi?
Elewe hivi mkuu Kristo alikuja ulimwenguni ili kuokoa kilichopotea.. kuwapa uzima wasio kua nao.. na nuru kwa walio na giza.. katika U krito kuna maisha mawili kuna maisha mawili.. ukisoma Bible.. unaambia Yesu alipata kibali kwa Mungu na kwa mwadamu.. inawezekana kabisa ukawa na Kibali kwa Mungu ila ukakataliwa na wanadamu na inawezeakana ukwa na kibali kwa wanadamu na ukakataliwa na Mungu ni vyema ika balance pote.. Okay.. character inatupa picha kamili ya wewe ni nani.. character ina picha mbili.. na inajengwa na vitu viwili.. sina mood ya kumwaga nondo.. acha nimalizena kwanza na mtu hapa 😄😄😄😄 alafu nirudi nidadavuw point to point
 
Mashoga dhabu yao ipo clear kwenye maandiko hiyo huitaji nguvu kubwa kuelewa.. But Kuna neema na huruma za Mungu.. sio kila shoga ni shoga.. wengine ni mashoga kwasababu wapo under influence ya devil himself.. Mashoga wengi wanaacha na kuwa watu wazuri kwa Mungu na kumtumikia Mungu..
adhabu ipi hiyo? Si ndo ueleze nawee lol. Mie nataka kufahamu sasa, khaaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kuvaa vaa manguo marefu kwanza ikatazwe Kama nchi watu ndio wanaficha mapanga humo
Naona unatiririka hoja zako chief mkwawa
I wish watu wangekusikia sasa unavyozidadavua..wangecheka wazimie ulivyo comedian.

Halafu ukimaliziaga na ile sentensi kwamba yaani hiyo siku ya mwisho hesabu zitapigwa kwelikweli.,itakuwa patashika.
 
Back
Top Bottom