Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na hakika wachache wapo kwenye njia ya haki.
Tuna hesabiwa haki bure kabisa kwa ajiri ya Damu yake aliyo mwaga msalabani.. hatu hesabiwi haki kwa kazi na matendo ya mwilini au kazi zetu.. bila hivyo Kristi alijitaabisha msalabani 😃😃😃
 
usinijaze upepo nikamshusha mzima mzima hapa ndio ujue nimempa maujanja au. laaaa... mtu anavaaa kama anaenda kuhani msibani.. kumbe mnaenda three star hotel kunywa ka kaahawaaaa
muulize mahondaw mie n mzungu bhana,
Wee eti anavaa kipusa hivyo, mie full naked na niliweka hapa lol.
Ataniweza wapi huyoooo wako? Aje nimpe darasa.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Ndio uone watu walivyo wanafiki kwenye dhambi.
Uliplleta ushoga huku walikutenga sana na kukemea vikali,,, na kukuona hufai
Ila kwenye kuvaa hovyo wanakupambania nankukupamba kwa hali zote.
😃😃😃😃😃😀😀😀 Ushoga nani anafurahi.. kigezo cha kumtenga mtu ni kipi? unajuaje kama sijamtenga au nimemtenga.. naweza kukuambia nakupenda na nikawa nakuchukia kuoita kiasia na ukikutana na mie nakuchekea 😎😎😎
 
Ndio uone watu walivyo wanafiki kwenye dhambi.
Uliplleta ushoga huku walikutenga sana na kukemea vikali,,, na kukuona hufai
Ila kwenye kuvaa hovyo wanakupambania nankukupamba kwa hali zote.
Unajua nn mie ndo maana kwenye masuala ya dini nilishakataa na huwa sitaki kuelezea, coz najua natetea vitu vunavyokinzana na hiyo dini, stakagi unafiki hata mie.

Nawazoom tyuuh hapa.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Unajua nn mie ndo maana kwenye masuala ya dini nilishakataa na huwa sitaki kuelezea, coz najua natetea vitu vunavyokinzana na hiyo dini, stakagi unafiki hata mie.

Nawazoom tyuuh hapa.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Na hao wanaotetea dini wako biased
Kuna dhambi wanaziona takataka ila zipo zile wanazozofavor na kuzipambania.
 
Back
Top Bottom