Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku za hivi karibuni nilienda saloon moja hivi kukata nywele nilimkuta mtu anafanana sana ako na rangi fulani hivi ya ngozi yenye matunzo ya kiwango cha juu.
Oooooh sijui sasa itakua n mie au lah, but huwa naendaga sku za weekend tyuuh.

Kwan unakata nywele wee kipenziii? Wee suka bhana, kuweka kiduku, Funk, afro, niachie mdogo ako hapa

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
20220312_113537~2.jpg
 
Lakini kwa Sasa biblia na Sheria ya ndoa inakataza
Biblia haipo general mkuu.. kuna maandiko yalikuwa yana wahusu group flani tu la watu.. ukisema uchukue ilo andiko na kuli apply kwako utatoka jasho mkuu.. labda kisayansi.. ila kuoa dada raha haya ma kesi ya kupigiwa nadra sana na mnalinda mali na urithi wenu.. ndivyo wafanyavyo watu wengi wa assia na mashariki ya katu ambapo ukristo ulianzia huko
 
Biblia haipo general mkuu.. kuna maandiko yalikuwa yana wahusu group flani tu la watu.. ukisema uchukue ilo andiko na kuli apply kwako utatoka jasho mkuu.. labda kisayansi.. ila kuoa dada raha haya ma kesi ya kupigiwa nadra sana na mnalinda mali na urithi wenu.. ndivyo wafanyavyo watu wengi wa assia na mashariki ya katu ambapo ukristo ulianzia huko
Na wanazaa matahira Sana sababu ya inbreeding. Sema wanawaficha. Ngumu Sana kuwa ndugu yako, unajifungia fursa za nje
Kwa hiyo Kuna Mafunzo na amri zawahusu watu flani tu!
 
Back
Top Bottom