Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kuwa na adabu mie konki wa nn?
Afu ukute sasa mie ndo learner, sijui kitu kuliko yeye unayemdhania.
Mizagamuo hoyeeeeeeh,. Aliyeleta mizagamuo ana nafas yake huko baada ya duniani hapa, yaan ile kitu aaaaah, unasahau shida na tabu zote za dunia, lakini kwa wanaopendana tyuuh

Hawa walio ktk mahusiano ya kuzagamuana kwa kufake hawa enjoy wala nn, wanakamilisha ratiba tyuuh, uwe na mtu fulaan unamuelewa, unamkubali, na kumpenda haswaaaa, acha wee
Yaan ukimuona tyuuh bacteria walio ktk eneo husika wanaanza kupisha na kuweka maji ktk eneo ili mgeni asife na kiu.

Watu weuweeeeeeeeee,

mahondaw mie muongo shouzzzzzzzz? Hahahah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
🥱🥱🥱🥱🥱🥱 Cocastic wewe kichwa chako sasa hahahahahahah!!!!!!🤣
 
Konk

Wa mzagamuo

Huna mbadala

Ni vile twaheshimiana

Ila tukipigana zagamuo

La kirafiki

Mbona mswano tu
kaa kwa kutulia,
Afu kwan wanaoheshimiana hawazagamuani? Ko wana ndoa hawaheshimiani? Au mke na mume?

Mie sijawahi kuelewa mtu anatongozwa afu anajibu "yaan sikuwahi waza utanivunjia heshima kias hiki" khaaah kwan mtongozo n dharau?

Au demu anamfata jamaa anamuelezea hisia zake, jamaa anajibu "daaah sikiwahi fikiria wee ndo unikosee adabu hivi, nlikuona msichana wa maana kumbe mmh", sasa kosa n lipi hapo?

Au mzagamuo n kwa wale tyuuh wasio heshimiana? Hebu Nijibu hapa

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
kaa kwa kutulia,
Afu kwan wanaoheshimiana hawazagamuani? Ko wana ndoa hawaheshimiani? Au mke na mume?

Mie sijawahi kuelewa mtu anatongozwa afu anajibu "yaan sikuwahi waza utanivunjia heshima kias hiki" khaaah kwan mtongozo n dharau?

Au demu anamfata jamaa anamuelezea hisia zake, jamaa anajibu "daaah sikiwahi fikiria wee ndo unikosee adabu hivi, nlikuona msichana wa maana kumbe mmh", sasa kosa n lipi hapo?

Au mzagamuo n kwa wale tyuuh wasio heshimiana? Hebu Nijibu hapa

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ndio

Nishatupa nyavu
 
Back
Top Bottom