Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kungwi uolewe na wewe sasa, na udumu kwenye ndoa yako. Maana makungwi kwa kuachika tu hawajambo
1st mzagamuo nimeufanya huku pete iko kidoleni inashangilia,niolewe mara ngapi tena? Ndoa ina 3yrs now, mama malezi twende taratibuu.

Kungwi haachiki ila mabwana ndo wanajiogopa kwa kuwaza wanachapiwa, ko wanaamua waachie ngazi, weuweeeeeeeeeh

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom