Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna Mchungaji mmoja anaitwa Rose nadhani kuna clip inazunguka alikuwa anawapa za uso akina mama wa kilokole kuwa wakiingia kunako 6 kwa sita watupe ulokole wao kule nilicheka sana. Halafu Mchungaji mwenyewe ni pisi kali hatari dah! Nadhani ndilo litakuwa kanisa langu hilo. Ana mafundisho mazuri sana!
Pastor Rose Shaboka yes. Watu wanachukulia ulokole kama wa watu wasiojua vitu vizuri, wanasindikiza tu wengine duniani. Siku hizi walokole wamefunguka sana aisee🤣🤣
 
ma mchungaji tafadhalini na cocastic wako mjue usiku huu sitaki kucheka mie Kama chizi!
kwan mie sasa n Rose shaboka huyooo, aliwachana walokole wazi wazi na ufia dini wao hadi bedroom, na aliwachana kweli kweli, hahahah ile clip ninayo hapa, ndo naitazama nicheke wee hadi baas.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Ile clip ninayo kabisaaaaaa, mda wote naitazama,
Namfatilia sana Rose Shaboka, aliniacha hoi, eti mume wake alimpata chuo kikuu UDSM mlimani, alipomtongoza hakukataa wala nn alitoa no yake hapo hapo, uwiiiiiii

Hebu kwan kesho niende ibadani kwake, kawa kungwi wangu. Woiiiiiiih.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kanisa lake lipo sehemu gani? Namkubali sana huyo mama...

Akina mama wa kilokole aliwapa za uso. Staili zote mama chanua ulokole wako tupa kule kwa mumeo...

Nasikia wengine mpaka wanakatazwa staili zingine isipokuwa kifo cha mende tu. We ulisikia wapi?
 
Kanisa lake lipo sehemu gani? Namkubali sana huyo mama...

Akina mama wa kilokole aliwapa za uso. Staili zote mama chanua ulokole wako tupa kule kwa mumeo...

Nasikia wengine mpaka wanakatazwa staili zingine isipokuwa kifo cha mende tu. We ulisikia wapi?
Walokole wenyewe hawa wa siku hizi; mnawajua mnawasikia? Labda wale extremists

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanisa lake lipo sehemu gani? Namkubali sana huyo mama...

Akina mama wa kilokole aliwapa za uso. Staili zote mama chanua ulokole wako tupa kule kwa mumeo...

Nasikia wengine mpaka wanakatazwa staili zingine isipokuwa kifo cha mende tu. We ulisikia wapi?
wawavalie bikini waume zao, mwanamke mwenye afya ya akili, anajua nn afanye wapi, bedroom sio mahali Pa kusifu na kuabudu, bedroom ni mahali Pa kushughurika, cheza michezo na style zote, Rose shaboka simuwezi

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom