Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aiseeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Ntaenda na Kwa yule Shaboka aiseee.

Leo jioni niliiangalia hiyo clip yake uliyoisema.
Nikajikumbuka enzi hizo shemeji yako anaomba namba .sikufikiria mara 2,,ilikuwa paa paaa namba hizi hapa Aloo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo inavyotakiwaa sasa usubiri nn? Bahati haiji mara 2, ni hapo hapo yaan, watu weuweeeeeeeeeeh.

Usisahau MC nipo hapa. Ushindwee wee tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Pastor Rose Shaboka yes. Watu wanachukulia ulokole kama wa watu wasiojua vitu vizuri, wanasindikiza tu wengine duniani. Siku hizi walokole wamefunguka sana aisee[emoji1787][emoji1787]
Yule mama huwa ana points sana
Inatakiwa siku tumpeleke faraghani uwata akawachape injili wale wa mwakiswelelo wavaa marinda.
 
Screenshot_20220313-005644.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo inavyotakiwaa sasa usubiri nn? Bahati haiji mara 2, ni hapo hapo yaan, watu weuweeeeeeeeeeh.

Usisahau MC nipo hapa. Ushindwee wee tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mdogo angu MC,Mungu anipe nini tena mie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yule mama huwa ana points sana
Inatakiwa siku tumpeleke faraghani uwata akawachape injili wale wa mwakiswelelo wavaa marinda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe anaelewekaa Rose, kuna clip ya bedroom ile nilimuonesha mdada m1 n rafk angu, nae n mlokole haswaa, acha aanze kunizogoa, na nilivo kichaa nkaanza kumpa darasa langu zaidi ya Rose uwiiiiiiooh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe anaelewekaa Rose, kuna clip ya bedroom ile nilimuonesha mdada m1 n rafk angu, nae n mlokole haswaa, acha aanze kunizogoa, na nilivo kichaa nkaanza kumpa darasa langu zaidi ya Rose uwiiiiiiooh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ile anasema mwanamke amezubaa tu haleti utundu
 
Kweli misiba tulie tugalegale vile; afu eti harusi uondoke kimyakimya as if umeiba mume wa mtu; weeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza watakavyokuwa wanaisubiri hiyo harusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nitawashangaza.
 
Back
Top Bottom