Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Hapohapo piga kapicha boss lediAnne hapo sitaki mimi! naona turudi tu kwenye kunijaza![]()
Mchana nilipitwa mno.
Boss ledii wetu ni msikivu





Hapohapo piga kapicha boss lediAnne hapo sitaki mimi! naona turudi tu kwenye kunijaza![]()





Nimemaliza msukuma!!Bosi ledi una mpango wa kutupia nyingine au niondoke zangu tu?
What a day!
Sasa tunaingia na wimbo gani?
Ooh wamama wa siku hizi tumegoma kuzeeka, tunapambana na kina Anne tu na wasipokuwa makini tunawakalisha






Sifa ninazokupa ni amini na kweli.Hapana nimeacha nimeacha ma mchungaji Anne ni next level!!
![]()
Good night Bosi Ledi. Asante kwa kuifanya siku hii kuwa ya mibaraka. Na Mama Mchungaji akapigilia msumari. Thanks daughters of GodNimemaliza msukuma!!



Afu chini umegonga na kitu Cha Inch 4+; twende taratibu mdogo angu




Huu hapa.Sasa tunaingia na wimbo gani?










Hakuna anayeweza kubisha. Boss Ledi ni moto wa kuotea mbali na ana roho njema.Sifa ninazokupa ni amini na kweli.
Kuna mtu anabisha??
Aje
Wanyaki hatuna shughuli ndogo. Hiyo siku watajua hawajui
Kiatu sawa
Ila hiyo robo mita ya mkono hapana
Nitadondoka,,mkono wenyewe mdogo huu



AiseeeeHuu hapa.
"Ooooh aaaah ouyeaaaah hapo hapo baba mchungaji, ongeza speed ya kinanda oooooh uuuuuh aaaaaah, kanyaga piano baba nitoe sauti ya kwanza, ooooh aaaaaah uuuuuh eeeeeeh hallelujah babaa koleza wimbo niyatoe maneno makuu kwako na uyasikie"
Baada ya ibadaa, utakuja kunishukuru. Woiiiiiiiiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
















Hiyo sherehe mtafanya wenyewe??


Na alivyo na roho nzuri atakuja tena hapa kutubariki na picha kaliiHakuna anayeweza kubisha. Boss Ledi ni moto wa kuotea mbali na ana roho njema.
Kweli misiba tulie tugalegale vile; afu eti harusi uondoke kimyakimya as if umeiba mume wa mtu; weeeeeeHiyo sherehe mtafanya wenyewe??
Mimi sipendi sherehe
Ila ninavyowajua watu wa Mbeya aisee kuanzia tu nyie ndugu zangu mtatamani mninyonge![]()
Tutakuwa hoiiMkifika age yetu mmechokaaq![]()