Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mmenichekesha sana nyie wazee muda ule; bora anko ameshalala. Wewe sasa naona simu ipo machoni muda wote
Tutakuja kupata na glaucoma sababu ya kukodolea simu siku nzima. Siyo poa kwa kweli. Kuanzia kesho naukacha huu uzi!

Na usijiaminishe kuwa anko wako kalala. Ukishushwa mzigo mzito hapa si ajabu ukamuona ameangusha laiki kimya kimya hasa ukizingatia kuwa naye ni timu Yutong
 
Moyo wangu usifadhaike
Unaye Mungu mkuu sana
Unaye Mungu muweza wa yote

Aliingia moyoni mwangu kanipa kutulia
Kaniambia ewe mwanangu usilielie Tena
Ninajua shida zako Mimi nitazitatua
Bila Yesu mimi ni mtu bure
Kati giza, Yesu mwanga wangu
Kati huzuni, Yesu ni mfariji
Kati vita, Yesu mwamba wangu
Katika njaa, Yesu mkate wa uzima
Yesu kimbilio, hajawahi kuniacha
Yesu mwamba wangu, mahali pa kujificha
Yesu kimbilio, hajawahi kuniacha
 
Thank uuuu boss laddy
Yaani nilale tu sasa hamna namna
Hii nahifadhi kwa matumizi ya baadaye
🤣🤣🤣🤣🤣 mie simo eng..🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️
 
Tutakuja kupata na glaucoma sababu ya kukodolea simu siku nzima. Siyo poa kwa kweli. Kuanzia kesho naukacha huu uzi!

Na usijiaminishe kuwa anko wako kalala. Ukishushwa mzigo mzito hapa si ajabu ukamuona ameangusha laiki kimya kimya hasa ukizingatia kuwa naye ni timu Yutong
Hahahah bora anko anajikazaga, sio wewe Mtumishi
 
Back
Top Bottom