Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kati giza, Yesu mwanga wangu
Kati huzuni, Yesu ni mfariji
Kati vita, Yesu mwamba wangu
Katika njaa, Yesu mkate wa uzima
Yesu kimbilio, hajawahi kuniacha
Yesu mwamba wangu, mahali pa kujificha
Yesu kimbilio, hajawahi kuniacha
Kati huzuni Yesu ni mfariji
Yesu kimbilio hajawahi kuniacha🥲
Hizi line zinaugusa moyo wangu mno.
 
Mmmh unafikiri kitandani kuna ulokole? Usinitafute maneno kesho jumapili
Kuna Mchungaji mmoja anaitwa Rose nadhani kuna clip inazunguka alikuwa anawapa za uso akina mama wa kilokole kuwa wakiingia kunako 6 kwa sita watupe ulokole wao kule nilicheka sana. Halafu Mchungaji mwenyewe ni pisi kali hatari dah! Nadhani ndilo litakuwa kanisa langu hilo. Ana mafundisho mazuri sana!
 
Kuna Mchungaji mmoja anaitwa Rose nadhani nafikiri alikuwa anawapa za uso akina mama wa kilokole kuwa wakiingia kunako 6 kwa sita watupe ulokole wao kule nilicheka sana. Halafu Mchungaji mwenyewe ni pisi kali hatari dah! Nadhani ndilo litakuwa kanisa langu hilo kwa kweli
Ile clip ninayo kabisaaaaaa, mda wote naitazama,
Namfatilia sana Rose Shaboka, aliniacha hoi, eti mume wake alimpata chuo kikuu UDSM mlimani, alipomtongoza hakukataa wala nn alitoa no yake hapo hapo, uwiiiiiii

Hebu kwan kesho niende ibadani kwake, kawa kungwi wangu. Woiiiiiiih.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Wee nipambe tu siku nikianzishiwa vagi la kuchambwa jf mie siwezagi kuongea mwenzio ntakuita uje unitetee ohoo!
Huyo boya atakayefanya hivyo wanaselfika atatubebea mbeleko gani? Kila mtu aishi maisha yake. Huna shida na mtu unakuja humu unacheka na watu unakwenda zako. Ya nini kupangiana maisha?
 
Back
Top Bottom