Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaaa... Hamna ukimaintain diet kashepu kananoga fulani hivi aisee nilikua nakulaaaaa sanaaauwiiiii! ! sema sasa sikuhizi kutokana na nnavokula nasikiaje njaa haraka sema najikaza then hio hali itazoea

Nataka hili tumbo libaki flat kabisa sijui ntaweza uwiiiii!View attachment 2148394
Ndyooooooh shouzzzz angu, unataka kuwa kibongeee mwepesiiii eeeeh?

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Asante mkuu . Hamna ukimaintain diet kashepu kananoga fulani hivi aisee nilikua nakulaaaaa sanaaauwiiiii! ! sema sasa sikuhizi kutokana na nnavokula nasikiaje njaa haraka sema najikaza then hio hali itazoea

Nataka hili tumbo libaki flat kabisa sijui ntaweza uwiiiii!View attachment 2148394
Woiiii
Ongeza ingine ya usiku tuone ile color
 
Hahahaaa... Hamna ukimaintain diet kashepu kananoga fulani hivi aisee nilikua nakulaaaaa sanaaauwiiiii! ! sema sasa sikuhizi kutokana na nnavokula nasikiaje njaa haraka sema najikaza then hio hali itazoea

Nataka hili tumbo libaki flat kabisa sijui ntaweza uwiiiii!View attachment 2148394
Mwanzo huwa mgumu ila consistency is the key. Ukivumilia mwishowe utazoea tu.
 
Saint Anne kuja huku we kajamaa uone mwanaume kaweka tatu kambani MANCHESTER IS REDView attachment 2148381
Sisi hayo ni mambo ya kawaida
Hata hatusemi yaani
JamiiForums1332762253.jpg
 
Back
Top Bottom