Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaaa... Hamna ukimaintain diet kashepu kananoga fulani hivi aisee nilikua nakulaaaaa sanaaauwiiiii![emoji134][emoji134][emoji134] ! sema sasa sikuhizi kutokana na nnavokula nasikiaje njaa haraka sema najikaza then hio hali itazoea

Nataka hili tumbo libaki flat kabisa sijui ntaweza uwiiiii!View attachment 2148394
Ndyooooooh shouzzzz angu, unataka kuwa kibongeee mwepesiiii eeeeh? [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Asante mkuu . Hamna ukimaintain diet kashepu kananoga fulani hivi aisee nilikua nakulaaaaa sanaaauwiiiii![emoji134][emoji134][emoji134] ! sema sasa sikuhizi kutokana na nnavokula nasikiaje njaa haraka sema najikaza then hio hali itazoea

Nataka hili tumbo libaki flat kabisa sijui ntaweza uwiiiii!View attachment 2148394
Woiiii[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Ongeza ingine ya usiku tuone ile color[emoji91]
 
Hahahaaa... Hamna ukimaintain diet kashepu kananoga fulani hivi aisee nilikua nakulaaaaa sanaaauwiiiii![emoji134][emoji134][emoji134] ! sema sasa sikuhizi kutokana na nnavokula nasikiaje njaa haraka sema najikaza then hio hali itazoea

Nataka hili tumbo libaki flat kabisa sijui ntaweza uwiiiii!View attachment 2148394
Mwanzo huwa mgumu ila consistency is the key. Ukivumilia mwishowe utazoea tu.
 
Saint Anne kuja huku we kajamaa uone mwanaume kaweka tatu kambani MANCHESTER IS REDView attachment 2148381
Sisi hayo ni mambo ya kawaida
Hata hatusemi yaani[emoji16]
JamiiForums1332762253.jpg
 
Ndio shos namie nataka kunyanyuliwa juu juu kuzungushwa nyumba nzima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji12][emoji12]! Ina raha yake shos![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].watu weuweeeeeee chezea kunyanyuliwa weyeeeeeeh, ila shouzzzzz wee mpana khaaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu tunataka misambwanda walionayo hawaitaki, hii dunia haijawahi kuwa fair wallah, khaaaaah.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! sio kama Sitaki msambwada shos sema msambwada uwe umeshepika dia😜😜😜😜🥱🥱!
 
Back
Top Bottom