Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
🤣🤣🤣🤣🤣🥱🥱🥱🥱🥱🥱🥱🥱 limefanyeje mkuu???Tumbo
🤣🤣🤣🤣🤣🥱🥱🥱🥱🥱🥱🥱🥱 limefanyeje mkuu???Tumbo



Boss lediii huyooKesho..una vocha yako spesho ya kunijaza sifa za kijinga!!




Asanteeee





Yaani nimeambulia ile moja tu ukitaka kuweka video ukaahirisha boss ladyKwani hujaona Kabisa???
🙆🙆🙆🙆🙆 kwahio tunafanyeje sasa Eng ???!?!?!!!!!!!!!Yaani nimeambulia ile moja tu ukitaka kuweka video ukaahirisha boss lady
Mhurumie injinia na moja kali sana ya kulalia akalale vizuriKwani hujaona Kabisa???





Fanya namna japo ya usiku mwema mkuu🙆🙆🙆🙆🙆 kwahio tunafanyeje sasa Eng ???!?!?!!!!!!!!!
😃😃injinia soma hiyooo...Mhurumie injinia na moja kali sana ya kulalia akalale vizuri![]()
Mama mchungaji unaniua na pressure ujueMoyo wangu...View attachment 2148418
Mwaka huu hamna haja ya kufanya jogging; selfika inawajogisha haswa.Mama mchungaji unaniua na pressure ujue
Yaani si kwa mbio hizo nilizokuja nazo
Ukizingatia nimekosa misambwanda hapa leo
Dah.....
Injinia msomi + lecinjinia soma hiyooo...
Ahsante kwa kuni0igia debe mkuu
Hii injia inashika kasii I wish I coukd be aijipii![]()









Kaa hapo usigeuze hata kopeFanya namna japo ya usiku mwema mkuu
Hasa wewe tangu juzi umenipa zoezi la kutosha nikifika hapa hola.......Mwaka huu hamna haja ya kufanya jogging; selfika inawajogisha haswa.
Afu inakuwaje sasa Ile picha yangu ya mchana?
Aisee huu uzi kiboko. Na uzee huu leo kidogo nivunjike nyonga. Boss Lady akisema tu video clip loading mi huyooo mbio. Mara paap anko wako naye huyu hapa yuko fulu fosi. Kazi sana yaaniMwaka huu hamna haja ya kufanya jogging; selfika inawajogisha haswa.
Afu inakuwaje sasa Ile picha yangu ya mchana?




Mbona nitakesha hapa Leo🤣🤣Hasa wewe tangu juzi umenipa zoezi la kutosha nikifika hapa hola.......
Endelea kuwepo hapa nitashusha mzigo wa maana live bila chenga ile mida ya wanga
Ushawishi wako naukubali mkuu boss ameshatoa ahadi unaona sasaInjinia msomi + lec
Boss Lady hatakuacha mikono mitupu kamanda. Tusubiri tu hapa hapa...
Tena kuna dalili zote za kupata IGP mpya. Yu kouldu bi ani Aijipii fo rili![]()
Mmenichekesha sana nyie wazee muda ule; bora anko ameshalala. Wewe sasa naona simu ipo machoni muda woteAisee huu uzi kiboko. Na uzee huu leo kidogo nivunjike nyonga. Boss Lady akisema tu video clip loading mi huyooo mbio. Mara paap anko wako naye huyu hapa yuko fulu fosi. Kazi sana yaani![]()


Mama mchungaji na wewe ujitahidi utimize ahadi yako boss wanguMmenichekesha sana nyie wazee muda ule; bora anko ameshalala. Wewe sasa naona simu ipo machoni muda wote![]()