Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Nasubiria yakoo sasaHivi mbona hamtumi picha?
Nasubiria yakoo sasaHivi mbona hamtumi picha?
Haya bwana.
Mmmhhh
Aisee jf ya motroo
Nilichogundua humu kuna watoto wakali sana, kama hizo picha ni zao.
Ambacho sikipendi ni kuhusudisha mapombe tu na itakua ni wapenzi wa shisha, kitu kinachowaondolea u-wife material.
Dah !
Daah sawa tu
Naumwa mie, dawa yake picha yako.Mbona kikohozi mdogo wangu?
Nipo hapa naangalia mafurikoUko maeneo ya mtonii
Sio kunijua tuu. Tumeishi pamoja ndani ya nyumba moja.



Wewe na picha ni vitu viwili tofauti. Nataka picha.Sio kunijua tuu. Tumeishi pamoja ndani ya nyumba moja.
Wewe ni wa kunikana hadharani?![]()
Sasa auntie ndio unataka kusemaje?Mmmhhh
Woyooo
Mwenyewe nakukubali sana jamani dear
Halafu nakumbuka ulisema wewe ndo dada

asante dear, 
ndiyo nimekumbuka.Wewe sio wa kusema uko na miguu kama miwa ya nyongeza!Sasa auntie ndio unataka kusemaje?