Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,206
Hapana, nyie wote madogo.
Home not alone. Kila mtu naona anadanganya home alone mi siwezi kudanganya kwakweliView attachment 1244952
Hiyo Irente view,maeneo ya Lushoto
Still bachela wakuu weekend hii kihome home huku nangoja EPL View attachment 1245179
We mie kijeba ujue!! Kwa picha hizo wewe ndio mdogo wangu.



mwee samahani dadaSikutaka kunywa leo..ila imetokea tuView attachment 1245605
Kuna bibi yangu alikuwa anaita chai isiyo na sukari "sturungi"wapi tena huko??
Yewomiii
Over 40.
Pampula![]()
Kuna na yeleuwiiiii!!Hyo yewomii ya kichaga umeipata wap?
Hahah hivi we jamaa ni meku?
Sipati picha ukirudi mlimani huwa inakuaje
Kuna na yeleuwiiiii!!
wengine miguu kama ya mbuzi



aise acha kabisa tuna miguu kama miwa ya nyongeza ya mbuzi mineneOooh!!!
Lemme google nione vile palivyo
Kule nakunywa kisusio tu