Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi mbona hamtumi picha?
Hivi unajua sijaona picha yako hata moja (ndiyo ni lazima nione)

Ila seriously Atoto kweli unanifanyia hivi yaani unavizia nikitoka ndiyo utume halafu nikija nakuta umefuta daah, na wewe do the needful basi kama cute b alifuta huku ila akaja kunitumia pm (najua yule ni cute b na wewe ni Atoto) fanya fanya basi makeke utupie hayo mapicha hapo fasi ya pm arifu
 
Hivi unajua sijaona picha yako hata moja (ndiyo ni lazima nione)

Ila seriously Atoto kweli unanifanyia hivi yaani unavizia nikitoka ndiyo utume halafu nikija nakuta umefuta daah, na wewe do the needful basi kama cute b alifuta huku ila akaja kunitumia pm (najua yule ni cute b na wewe ni Atoto) fanya fanya basi makeke utupie hayo mapicha hapo fasi ya pm arifu

Kumbe cute b alikutumia!! Mie aligoma kunitumia
 
Back
Top Bottom