Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Unabisha?Na Mimi nakusaidia kukataa



Napiga zoezi baada ya kushiba
Unabisha?Na Mimi nakusaidia kukataa



Ooh wengine hawakuwaonaSikufikiria hata kama nitaulizwa maana juzi niliweka picha yangu nikiwa na huyo dada.
Labda ningeona skuna
NdiyoOoh wengine hawakuwaona
Utatapika mdogo wangu pumzika kwanza
Umenikariri eeeh?Labda ningeona skuna

Abee dadaUmenikariri eeeh?
Nimeachana nazo,navaa vile vingine nilivyoagizwa nitafute![]()
Unadhani ni mimi basiUtatapika mdogo wangu pumzika kwanza
!SijakuitaAbee dada
😆😆😆😆😆Hapo unajiona umekuuuuula kumbe hakuna kitu dah!![]()
Yaani nimekuja na mbio za kufa mtu hadi nimejikwaa najua mama mchungaji kaselfika 😭😭😭Daah Lamata anaupiga mwingi. Mama G in the building..View attachment 2147296
Sent using Jamii Forums mobile app


Tatizo ikipanda bus mpaka ifike huko Shule ya Msingi nini sijui, itakuwa ishageuka mvinyo 😄Mkuu sijapata juice wiki sasa 😀😀😀
Hehehehehe haya nyanyuka ujikung'ute mavumbi 😁😁😁Yaani nimekuja na mbio za kufa mtu hadi nimejikwaa najua mama mchungaji kaselfika 😭😭😭
mvinyo nao ni juice, sema tu ni juics iliyo changamka 😅😅Tatizo ikipanda bus mpaka ifike huko Shule ya Msingi nini sijui, itakuwa ishageuka mvinyo 😄