Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Haha....Royal City kiwanja changu pendwa kabisa hicho nina historia nachoMkuu niko royal city kidinda hapanjoo nikusalimie
Kweli kabisa nkamu. Nimekumiss pia kuselfika 😁😁Nkamu majukumu Mama angu![]()
Kweli kabisa nkamu. Nimekumiss pia kuselfika![]()

Ni MimiNkamu huyu sio wewe ehee

Maisha yanabadilika haya jamanihaiwezekaniii

Acha kamba za mchana kweupe kiongozi


Maisha yanabadilika haya jamani![]()
weee hunizidi mimi unene nagomaaa




Maisha yanabadilika mkuuAcha kamba za mchana kweupe kiongozi![]()
Nimemaliza kufukiaMungu fundi.
Pia moja ya makabila wanawake waliojaliwa kupata nafasi ya kuumbwa asubuhi wakati MUNGU ana nguvu,wanyaki..
Ule udongo sir GOD aliotumia sio mchezoo.

Na Mimi nakusaidia kukataahaiwezekaniii
Huyu siyo wewe Saint Anne
Ndiyo mmemgomea mtakatifu?Acha kamba za mchana kweupe kiongozi![]()
Mi nipo CRDB hapaKidinda...
Nipo mjini mitaa ya NMB BANK hapa ukifika mjini nicheki
Ni MimiHuyu siyo wewe Saint Anne

Sikufikiria hata kama nitaulizwa maana juzi niliweka picha yangu nikiwa na huyo dada.Ndiyo mmemgomea mtakatifu?