cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Aiseeeee!!





kumbe ni muongo tyuuu, nshakukamata huna maajabu woiiiiiiioh. Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Aiseeeee!!





kumbe ni muongo tyuuu, nshakukamata huna maajabu woiiiiiiioh. Nambie boss wangu😜😜😜😜
😊😊 namalizia weekend..Nambie boss wangu
Kula tu bata boss wangu; I've got you covered😊😊 namalizia weekend..
Bata limeingiwa na upweke sijui kwanini, nimewakumbuka members flani.. wa group moja hadi raha imetoweka nimekumbuka zile moments dah😪😪😪.. hapa naangaika kuwa find mmoja mmoja yani nione kama nawapataKula tu bata boss wangu; I've got you covered
Group lilikufa au ilikuwaje? Pole BossBata limeingiwa na upweke sijui kwanini, nimewakumbuka members flani.. wa group moja hadi raha imetoweka nimekumbuka zile moments dah😪😪😪.. hapa naangaika kuwa find mmoja mmoja yani nione kama nawapata
Miaka mingi imepita sijui ilikuwaje.. zaidi ya 3 yeasr nili left.. ila leo imekuja feeling ya hali ya juu hadi nimepatwa na huzuniGroup lilikufa au ilikuwaje? Pole Boss
Fanya uwatafute...Miaka mingi imepita sijui ilikuwaje.. zaidi ya 3 yeasr nili left.. ila leo imekuja feeling ya hali ya juu hadi nimepatwa na huzuni
Refer to the first sentence...Nazungumzia Kushiba,, Quantity.