Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,265
🤣🤣🤣 we Pj weeKwa hizo dimpoz juice inakuja![]()
🤣🤣🤣 we Pj weeKwa hizo dimpoz juice inakuja![]()
Una nini na haya madoleMama malezi wee haya bhana, hebu post vidole mie niridhike bas.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kwa kweli nikiona nafurahi tyuuh, mie sahivi hata usipopost chchote, ila vidole tyuuhUna nini na haya madole




Hahahaaa..Nitakufanyia manuva room22 ipotee na usiamini? Haya
Omba hapo kwa HS atupe mshono other wise nikaharibu kule 🤣Hahahaaa..
Mdogo wangu hata wewe ni wa kunisaliti at all people, iwe wewe kweli.???
Ila we jamaa ni unakula 😄
Umeanza
MmmmmmhIla we jamaa ni unakula![]()
Nanenepa bhana....
Umeanza
![]()





kwan uongo sasa dea? Wee tazama hivyo vyakula, ukute vyakula vingi mno vinabana mwili wake kutanuka, c analundika tyuuuh. Hebu nione hapo uliponenepa, tena paweke angle nzurii ili nitazame kwa upana na urefu, nithibitishe vizuri huo unene.Nanenepa bhana....
Au unataka nikuonyeshe nilipo nenepa?







Haya haraka sana weka kwa kiswahili kabla mashetani yangu hayajapanda.Isaiah 60:22,
“When the time is right, I, the Lord, will make it happen.”
Trust God through every process that he is making you pass through.
Don't give up,the time is now for your breakthrough.View attachment 2146800






Utaota usiku unakojoa kitandani nikikuonyesha sehemu niliyonenepa kwa upana na urefu mkuuHebu nione hapo uliponenepa, tena paweke angle nzurii ili nitazame kwa upana na urefu, nithibitishe vizuri huo unene.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hayapandi kwa Jina lipitalo majina yote ..aaamen!Haya haraka sana weka kwa kiswahili kabla mashetani yangu hayajapanda.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app

Utaota usiku unakojoa kitandani nikikuonyesha sehemu niliyonenepa kwa upana na urefu mkuu





sasa unaogopa wee badala ya mie? Wee weka hapa, hilo la kukojoa kitandani ni langu sio lako na halikuhusu, wee weka hapo uliponenepa ili nione, unakwama wapiiii? Au unajistukia kuwa n uongo? Hahahah khaaaaahHayapandi kwa Jina lipitalo majina yote ..aaamen!![]()





chizi wee. Aiseeeee!!sasa unaogopa wee badala ya mie? Wee weka hapa, hilo la kukojoa kitandani ni langu sio lako na halikuhusu, wee weka hapo uliponenepa ili nione, unakwama wapiiii? Au unajistukia kuwa n uongo? Hahahah khaaaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app