Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Nakupiga ujue
Nakupiga ujue
Student naskia upo A town...nenda kaonane na Depal akuonjeshe alcohol kidogo.
Lekchara wako anatupeleka mbio






yaan sio kwa ung'eng'e huu alioupiga hapo lol. Haka katoto huwa kanajifyatua akiliSaint Anne mbona 9.8ms squared alibadili na haukumuwekea tume huoni Kama una double standards
Wew dawa yako Ni mwambene tu shabiki lenzio la livapoolNakupiga ujue
Maisha yafaa niniKatika ubora wako.
Unafurahia tu kwenda kulewa.
Utadhani alitulipia ada bwanayaan sio kwa ung'eng'e huu alioupiga hapo lol.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app

Wew dawa yako Ni mwambene tu shabiki lenzio la livapool

😀😀😀😀😀 mie kiboko yaoSaint Anne mbona 9.8ms squared alibadili na haukumuwekea tume huoni Kama una double standards
Pombe huburudisha nafsiMaisha yafaa nini
Bila mvinyo/pombe
Muache atimize maandiko
Kijenge round about
Student naskia upo A town...nenda kaonane na Depal akuonjeshe alcohol kidogo.




lect wee ni mzushi bhana, au mie ndo sina bahat? JD na ndinga kmyaaaaah, hebu sahihisha huko mitihani hatutaki uharibu desa za watu, afu ujaze sup kibao, kumbe umesahihisha haraka haraka uwiiiiih. 





tutamu huto 😅😅😅Wew dawa yako Ni mwambene tu shabiki lenzio la livapool
Kuna kazi hapa haiishi, sijui ndio inaniondolea mood.Ijumaa ndio haupo happy Tena![]()
Tena atupishe kabisaaa, huo umombo akiwa nao yeye inatosha.Utadhani alitulipia ada bwana![]()








Eti anakaiga hako katoto kanakojitoaga akili
Poaaaaaah jioni uktoka kazini.Kijenge round about



ItaishaKuna kazi hapa haiishi, sijui ndio inaniondolea mood.
Em mwambie ex wako afanye delivery ya juice
Jack Palladino