Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,271
Acha kabisa
But currently nimeokoka 😂
Acha kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 chizi weAu basi mkemia!!![]()
Acha kabisa
But currently nimeokoka![]()





watu na wokovu wao? Wapi upakoooo? HahahahahKula nyamaaa
Choma choma kwa sana
Itakuwa tu hukushiba
Mpaka nimemiss mvinyo![]()
Kula nyamaaa
Choma choma kwa sana
Itakuwa tu hukushiba
Mpaka nimemiss mvinyo![]()






khaaaaah wee binti taratibu mambo yako lol. Ewaaaaa.........View attachment 2146241
Sura ya Dingi..dk0
Karibu chamani 🥰Aisee Asante sana ..
Hizo nimesikia watu wanazisifia mno .
Mie mshamba huko kwenye wine kabisa .
Jomoneeeeh kuna watu wameumbwaaa ktk hii dunia, woiiiiiiiih Toto la kingoni hilo,View attachment 2146241
Sura ya Dingi..dk0






Heaven Sent iga wenzio huku mama mchungajiView attachment 2146241
Sura ya Dingi..dk0
😁😁😁 si ni life tu
Ewaaaaaaa..😍😍😘😘dogo langu wakunijaza Dada akooo🤸🤸🤸🤸Jomoneeeeh kuna watu wameumbwaaa ktk hii dunia, woiiiiiiiih Toto la kingoni hilo,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Jinger we 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nilijaribu tu ka wine mara mbiliAchana na mipombe haifai best
Kuna vinywaji kibao vya ku enjoy
Ebu selfika basi mkuu
😜😜 must maana si kwa kiu hiki nilichopata.Ooh kumbe ,inawezekana sikushiba kweli .
Weekend inaanza leo uende kujipatia wine yako pendwa .
Ulikua wanifikiriaje ?pisi kali eeh kumbe majanga😂😂Yna2 nilivyokuwa nakufikiria kumbe sivyo kabisa....
Kuna Pepsi, Alvaro, bavaria, ginger ale, juice na mocktail kibaooooNilijaribu tu ka wine mara mbili
Vinywaji kama vipi hivyo ?
Ngoja nione kama nitaiona picha ya kuweka
Raha kujipa mwenyewe ..must maana si kwa kiu hiki nilichopata.