Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,016
- 177,327
hahahaaa... hapana
Haitopasuka kweli hiyo kwa jinsi ulivyoiweka!!
Haitopasuka kweli hiyo kwa jinsi ulivyoiweka!!
Hivi mnawezaje kunywa vitu vichungu? Au mnatia sukari?Oohh atleast hiyo Smirnoff inaonekana si mbaya ..
Itakuwa mwili ulireact tu aisee maana haujazoea vitu vichungu hivyo... Kiukweli ilinishangaza hiyo wine mara siwezi kutembea ..nahisi kizungu zungu ,kilichonisaidia ni kunywa maji mengi na kuoga baada ya hapo .
Hiyo Amarula siiwezi kama ina uchungu ndo kabisa..




🤣🤣🤣🤣😂😂😂🥱🥱🥱🥱🤣🤣 !! hahahaaa....Namaanisha kwa joto!![]()
Au hukushiba wewe 🤣🤣Oohh atleast hiyo Smirnoff inaonekana si mbaya ..
Itakuwa mwili ulireact tu aisee maana haujazoea vitu vichungu hivyo... Kiukweli ilinishangaza hiyo wine mara siwezi kutembea ..nahisi kizungu zungu ,kilichonisaidia ni kunywa maji mengi na kuoga baada ya hapo .![]()
Hiyo Amarula siiwezi kama ina uchungu ndo kabisa..![]()
Eeh mimi siwezi vitu vichungu ..Hivi mnawezaje kunywa vitu vichungu? Au mnatia sukari?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sio vichunguHivi mnawezaje kunywa vitu vichungu? Au mnatia sukari?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Au hukushiba wewe
Ila sishangai maana hata mimi savanna kama sijashiba lazima initoe nishai
Zanzi je
Nzuri sio chungu
Eeh mimi siwezi vitu vichungu ..
Nadilute na maji weh mpaka maji yaishe hapo naona imetosha ila sidhani kama nitatumia tena .





aseeeh mie ndo nilinyimwa kabisaa appetite ya vinywaji vya viwandani, mie buzzy na ulanzi woiiiiiiihTry dompo na ice cubeEeh mimi siwezi vitu vichungu ..
Nadilute na maji weh mpaka maji yaishe hapo naona imetosha ila sidhani kama nitatumia tena .
Sio vichungu
Ni vitamu
I love me with a lit alc..





hebu nibaki na kinywaji changu pendwa kojo zito linalotoka ktk chupa ya nyama nyama na mifupa, uwiiiiiiiiiihAchana na mipombe haifai bestNilikula mbona tuchipsi hivi
Au haiendani na vyakula vyepesi eeh ?
Ehh unajua vinywaji dada ..
Hiyo siifahamu kabisa .
Try dompo na ice cube
Jamani ni tamu
Au drostdy hof na coke
Usiweke maji unaharibu






ktk ubora wako, wacha wee. Naomba nikujie PM!Try dompo na ice cube
Jamani ni tamu
Au drostdy hof na coke
Usiweke maji unaharibu
Ulanzi ni pombe ya asili ?aseeeh mie ndo nilinyimwa kabisaa appetite ya vinywaji vya viwandani, mie buzzy na ulanzi woiiiiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
.Kula nyamaaaNilikula mbona tuchipsi hivi
Au haiendani na vyakula vyepesi eeh ?
Ehh unajua vinywaji dada ..
Hiyo siifahamu kabisa .
KaribuNaomba nikujie PM!
Kuna kitu unishauri!
Mamaaa 🌚🌚🌚hebu nibaki na kinywaji changu pendwa kojo zito linalotoka ktk chupa ya nyama nyama na mifupa, uwiiiiiiiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Try dompo na ice cube
Jamani ni tamu
Au drostdy hof na coke
Usiweke maji unaharibu