Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Oohh atleast hiyo Smirnoff inaonekana si mbaya ..

Itakuwa mwili ulireact tu aisee maana haujazoea vitu vichungu hivyo ... Kiukweli ilinishangaza hiyo wine mara siwezi kutembea ..nahisi kizungu zungu ,kilichonisaidia ni kunywa maji mengi na kuoga baada ya hapo .

Hiyo Amarula siiwezi kama ina uchungu ndo kabisa ..
Hivi mnawezaje kunywa vitu vichungu? Au mnatia sukari?

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Oohh atleast hiyo Smirnoff inaonekana si mbaya ..

Itakuwa mwili ulireact tu aisee maana haujazoea vitu vichungu hivyo
emoji28.png
... Kiukweli ilinishangaza hiyo wine mara siwezi kutembea ..nahisi kizungu zungu ,kilichonisaidia ni kunywa maji mengi na kuoga baada ya hapo .

Hiyo Amarula siiwezi kama ina uchungu ndo kabisa
emoji23.png
..
Au hukushiba wewe 🤣🤣
Ila sishangai maana hata mimi savanna kama sijashiba lazima initoe nishai

Zanzi je 🤗
Nzuri sio chungu
 
Back
Top Bottom