cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Ndyooooooh ndani ya Tenge la wax, limekaa penyeweeee



Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ndyooooooh ndani ya Tenge la wax, limekaa penyeweeee



Wewe jamaa bana! Unatoka nyumbani umeoga vizuri kumbe unakwenda kutukatia umeme!!



🤗🤗🤗🤗Weuweeee. Hata j3 usije, nitakushikia zamu
OMG!!! jomoneeeeeeh kitu upajaaa mnono yaan,





......
Ooh kesho/baadaye basi dear.Wamelala
Fanya wepesi
Nna vitenge sijavishona ujue, nangoja kuibia ibia
✌
🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸♥️♥️♥️♥️ ulinichanganyaje miee lol!!!OMG!!! jomoneeeeeeh kitu upajaaa mnono yaan,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kristooo 🚶🏻♀️🚶🏻♀️🌚
Au unataka niamke nivifotoe upate motisha??
Haitopasuka kweli hiyo kwa jinsi ulivyoiweka!!
🤣🤣🤣 Hapana. Nina kazi ya kuchambua mishono accordingly...Au unataka niamke nivifotoe upate motisha??
🌚🌚🌚Hela ipo...hapo kwenye show!
Kwanza mie ni wale kimoja chali![]()
ulinichanganyaje miee lol!!!





kwa kipi sasa nawee? HahahahKwa kweli ‘accordingly 🤣🤣🤣🤣🤣 Hapana. Nina kazi ya kuchambua mishono accordingly...
Jipe muda ujaribu tena
Smirnoff ina 7% , ni tamu
sauti ikawa nzito? Sijawahi kutana nayo hiyo wala kuisikia.
Amarula je? Ila ina uchungu
... Kiukweli ilinishangaza hiyo wine mara siwezi kutembea ..nahisi kizungu zungu ,kilichonisaidia ni kunywa maji mengi na kuoga baada ya hapo .
..