Heavy meals wakati mwingine ni muhimu, hakuna namnaπππ
Umenikumbusha miaka hiyooo...ilikuwa lazima kila siku ninywe mirinda nyeusi 2...moja mchana, nyingine jioni.
Ila tangu nimeweza kuacha soda hata hazinisisimui kihivyo...Dogo aliniletea zawadi ya Fanta last weekend nikanywa kidogo, nyingine ipo kwenye freezer mpaka leo π₯΄π₯΄