Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Sisi kwetu ng'ombe ni Kwa ajili ya kulima mashambaView attachment 2144329
Naona traffic Police wamenisimamisha hapa, wanasema tairi za tela langu zimeisha ππ
Karma , Heaven Sent , financial services , Saint Anne , Bujibuji Simba Nyanaume fanyeni mpango mnunue Pickups za kubebea mazao yenu shambani lakini sio Ng'ombe.
Kwetu kule Ng'ombe ni kwaajili ya kula nyama, maziwa na kuolea tu sio kubebea mizigo ππππππ
Hebu nitumie hapa babuuuh, mie fundi wa kupika lol,Ngoja nikutumie Sato kilo kadhaa nione Mapishi yako
Ni sahihi, ila Mpishi wa huo Msosi ametoka mbali sana
Kwenye mapishi nadhani hana mpinzani
Yaan sijui hata yukoje, hafanan hata na ukuda khaaah uwiiiiihMwenyekiti wa wapambe! ! Nakuona nakuona
Man mna rebuild Nini sasa nyie?wew na wachambuzi wako UCHWARA kule jukwaani kwenu leo kimya...sisi tupo kwenye rebuild Ni special Case right now
Mnafanya nyama zake kuwa ngumu hadi sisi Wazee tunashindwa kulaπSisi kwetu ng'ombe ni Kwa ajili ya kulima mashamba
Sipunguzindyooooh, nataka kukuambia kuwa punguza kunichamba lol.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Shouuzzzz leo umetokolezeeaa ki headmistress uwiiiihHave a nice day wana selfika!!View attachment 2144220
ππππ€£π€£π₯±π₯±π₯±π₯±π€£ Pep huyu mtu leo umemfanyeje lakini!!!Nimesema Mimi huyu dada siyo tu kwamba ni boss lady,Bali ni mtu na nusu na kipande piaπ₯β€οΈ
Nani mwingine anafikiriaga kuwawezesha watu lunch??
Huyu ni special woman duniani hapa.
Yaani hizi vocha tu unaweka zinatubariki mno,
Mimi hata nisipopata nafurahi sana tu Kwa waliopata Kwa sababu naijua furaha ya kupata hizi vocha.
Mtu anaweza akaona kama ni kitu kidogo lakini kiuhalisia huwa inaketa kavibe Fulani kazuri kubahatika vocha ya humu.
Yule profesa ndio kamfundisha ukocha klopp alimuokota bar,,Msimu ujao nyie livakuku genge la wahuni tutawapiga nje ndaniMan mna rebuild Nini sasa nyie?
Na profesa wenu wa gengeni ..
Yaani hata tukiwapa mcheze na Watu wa Tandahimba sasahivi wanaibuka ushindi.
Kama nyie wanaume basi tutoeni pale juu.
WeeeeMnafanya nyama zake kuwa ngumu hadi sisi Wazee tunashindwa kulaπ
π₯±π₯±π₯±πππ hahaha..Shouuzzzz leo umetokolezeeaa ki headmistress uwiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sawa, nitakutumia ila please usimlishe Babu vyakula visivyoiva.Hebu nitumie hapa babuuuh, mie fundi wa kupika lol,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sasa ningekupata wapi wakati ulizimia ukabebwa na ma Hela baada ya timu ya kiumeni ya Pep kuwatandika mwanitesa Kwa kichapo kizito Cha bao 4 mkapoteana ndio mnarudi leo
View attachment 2144331
Nadhani ni Kwa sababu hii, Ng'ombe anayefanyishwa kazi ngumu kama kulima, kubeba mizigo huwa anakuwa na nyama ngumuWeeee
Jamani kuna ilo butcha ukichukua nyama yao mpk ilainike ni umeipika mpiko wa kuivisha kande kg 5 kwa jiko la mkaa.
Naishangaaga ile bucha sipati majibu
Tunakufa na Ban tu
Halafu jamaa hata atukanwe vipi yaani..ni kama ameweka wigo,matusi hayamkolei.
Hadi kiuno kimetikisika nlivosikia lunch,Hahahaaa.. unanijaza tu mtakatifu!! Usiwaze nivile tu sina namba zenu mbona ningekua nawasaprize ya lunch!!!!
π π π π π π πUtakuwa umechukua demu wa mod wewe siyo bure Kwa hizo ban
Yani kwenye sekta ya ban unapiga mwingi sn
πππππππππππππTunakufa na Ban tu
View attachment 2144329
Naona traffic Police wamenisimamisha hapa, wanasema tairi za tela langu zimeisha
Karma , Heaven Sent , financial services , Saint Anne , Bujibuji Simba Nyanaume fanyeni mpango mnunue Pickups za kubebea mazao yenu shambani lakini sio Ng'ombe.
Kwetu kule Ng'ombe ni kwaajili ya kula nyama, maziwa na kuolea tu sio kubebea mizigo