Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aseeeeh itakuchubua mbna, yaan inakusanya ngozi ya kidole, poleeeh, muambie baba mchungaji akununulie ingne bhana. [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hana stress siku hizi; pisi ishajizeekea hakuna wa kuichukua.

Inaingia mbona, ila kutoa ndiyo kama hapo juu sasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au ndo uzee? Hakuna nachekaga nkiona mada ya usaliti afu utoe neno, huwa nawaza unatamanigi kuwenna voice note usikike woiiiiiooh

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Yaani Ukitaka povu linitoke; sifia michepuko. Huwa nanuna hadi huku nasonya tu. mgazeti utashuka tu kiulaini.😂😂😂
 
IMG_20220118_165426.jpg
 
Yaani Ukitaka povu linitoke; sifia michepuko. Huwa nanuna hadi huku nasonya tu. mgazeti utashuka tu kiulaini.[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na huwa unajua kushusha gazeti wallah, yaan hata paragraph 6 na zilizojaa maneno woiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom