Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Mwanzoni na mimi ilikuwa hivyo hivyo. Siku hizi hata nisipovaa siulizwiMimi itakuwa heri nisahau kidole sehemu kuliko Pete aiseeeeeee


Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzoni na mimi ilikuwa hivyo hivyo. Siku hizi hata nisipovaa siulizwiMimi itakuwa heri nisahau kidole sehemu kuliko Pete aiseeeeeee


Wanawake huwa hawashindwi kutembea vizuri hata wavae nini! Na Boss Lady unavyomuona ni mtu wa kutembea yule?![]()




basi sawaaaahMwanzoni na mimi ilikuwa hivyo hivyo. Siku hizi hata nisipovaa siulizwi
Sent using Jamii Forums mobile app







Mshono wa pisi 2 au 3?Ma mchungaji bosi ya mabosi ameniahidi wax moja mattatta sana! please naomba nitafutie mshono niitendee haki wax yaukweee!!
Hata utukatishe tamaaInabana, so naiwekaga tu sehemu salama. Ntaanza kujishaua nikipata madini mapya ya uzeeniView attachment 2143853
Sent using Jamii Forums mobile app
Aseeeeh itakuchubua mbna, yaan inakusanya ngozi ya kidole, poleeeh, muambie baba mchungaji akununulie ingne bhana.Inabana, so naiwekaga tu sehemu salama. Ntaanza kujishaua nikipata madini mapya ya uzeeniView attachment 2143853
Sent using Jamii Forums mobile app




Huyo ni Mzee wa yutong bana ndiyo ka-recommendAsante ma mchungaji.. ukipata mingine Usinisahau pia! ubarikiwe sana
Hana stress siku hizi; pisi ishajizeekea hakuna wa kuichukua.Aseeeeh itakuchubua mbna, yaan inakusanya ngozi ya kidole, poleeeh, muambie baba mchungaji akununulie ingne bhana.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
AiseeeeeMwanzoni na mimi ilikuwa hivyo hivyo. Siku hizi hata nisipovaa siulizwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeeh sasa utafanyaje kwa mfanoHata utukatishe tamaa
Tumeshakubaliana na Shimba Ya Buyenze kua vita ni vya mungu. Hatuteteleki.



Nalia na Mungu avipigane vita vyake.



ShindwaaaaNalia na Mungu avipigane vita vyake.
Mimi najiweka tayari kuvikwa taji la ushindi.
Hana stress siku hizi; pisi ishajizeekea hakuna wa kuichukua.
Inaingia mbona, ila kutoa ndiyo kama hapo juu sasa





wee bado mcharoooh, sema anakuamini mama mchungaji wake. 


Yaani Ukitaka povu linitoke; sifia michepuko. Huwa nanuna hadi huku nasonya tu. mgazeti utashuka tu kiulaini.😂😂😂au ndo uzee? Hakuna nachekaga nkiona mada ya usaliti afu utoe neno, huwa nawaza unatamanigi kuwenna voice note usikike woiiiiiooh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Yaani Ukitaka povu linitoke; sifia michepuko. Huwa nanuna hadi huku nasonya tu. mgazeti utashuka tu kiulaini.![]()






na huwa unajua kushusha gazeti wallah, yaan hata paragraph 6 na zilizojaa maneno woiiiiih